Uume wangu hausimami vizuri, nifanyeje?

Uume wangu hausimami vizuri, nifanyeje?

Status
Not open for further replies.
mmemuuliza umri, maana kila nikikumbuka kuna umri unaweza kutundika hata mfuko wa kilo ya sukari na bado kitu kikaweza kuubeba. ila uanze na kubadilisha kwanza hiyo picha
 
Jaman naomba kuleta kwenu jambo hili,

Nilipotaka kufanya mapenzi mara ya kwanza uume wangu haukusimama kikakamavu kitendo ambacho kilipelekea kushindwa kuingiza hata mara moja sasa nashindwa kuelewa ni nini tatizo,mpaka naogopa kujaribu tena.

Hofu au msongo wa mawazo ni miongoni mwa vitu ambavyo hupelekea kushindwa kumudu tendo la ndoa, muhim ni kuondoa hofu na pia mawazo yako yaelekeze katika tendo husika utaona matokeo bora.
 
Hofu au msongo wa mawazo ni miongoni mwa vitu ambavyo hupelekea kushindwa kumudu tendo la ndoa, muhim ni kuondoa hofu na pia mawazo yako yaelekeze katika tendo husika utaona matokeo bora.
[emoji120] [emoji120]
 
mkuu nafikiri uoga wako tu. Unajua uume kusimama inategemeana na hali uliyonayo hasa hofu ya ugonjwa wa UKIMWI na pia jins mwanamke mwenyew alivyo. Kuna baadhi ya wanawake hawavutii kimapenz kbs hata akipita uchi mbele yako huwez kusimamisha kamwe. Pia huenda papuch ililkuwa hajisafishwa vizur huenda ilikuwa inatoa harufu
Hebu tafuta mwanamke mwingine mrembo halaf uje utupe mrejesho
Point daaaah uko vizuri
 
Si Munasema Puli Haina Madhara nyinyi??
Sasa wewe endelea Kula Kwa Macho tu Coz Ndiyo hivyo Penalt umepewa Unashindwa Tumbukiza Mpira Kimiani badala yake unaishia Kuutowa Wa Kurushwa.
 
siku ingine ikitokea hivyo tafuta punje 1 ya kitunguu saumu kitoe maganda yake kisha nenda chooni kakojoe kisha inama huko huko chooni kitie hicho punje ya kitunguu saumu kwenye tundu yako ya haja kubwa hakikisha kimeingia chote na kuzama kisha nenda haraka kitandani kalale kwa dakika 5 kisha amka uume wako utasimama kama chuma cha pua na utakuwa na nguvu za ajabu sana jaribu kisha uje unipe feedback.
Jamani si tulisikia kwamba vitunguu swaumu vinatafunwa tu? Sasa Leo hii huyu nae kaja na yake eti unaweka kwa haja kubwa duhuu hatariii
 
Haya mambo huanzia kunako kichwa...
Pengine ulipata hofu ndo jogoo akakuangusha........
LABDA TUJUZE
Unapoamka asubuhi,khali ya Jogoo wako.... huwa anasimama?
Dah mm nikiamka asubhi jogoo hasimami tofaut NA hapo mwanzo....Tatizo litakuwa ni nn ? Nina mwez NA nusu sasa
 
Hawa wanaume wa dar hawa kila siku kulialia tuuuu!hameni dar njooni huku tule natural food muone hawataamsha.tatizo mnashindia chips urojo za hapo buguruni shell ndio maana hazisimami.
 
siku ingine ikitokea hivyo tafuta punje 1 ya kitunguu saumu kitoe maganda yake kisha nenda chooni kakojoe kisha inama huko huko chooni kitie hicho punje ya kitunguu saumu kwenye tundu yako ya haja kubwa hakikisha kimeingia chote na kuzama kisha nenda haraka kitandani kalale kwa dakika 5 kisha amka uume wako utasimama kama chuma cha pua na utakuwa na nguvu za ajabu sana jaribu kisha uje unipe feedback.
Dokta ni kweli? Tuaminishe basi
 
Mwanamke kalala tu? Khaa!! Kama kalala tu ndio mtamu huyo.. Wewe ni mpiga puli mkubwa.. Si unaona hata mikono yako hio kwenye picha inaonyesha.. Hata kama utakataa ila siti unaijua moyoni... Na usikatae sema ukweli usaidiwe jinsi ya kuacha.. We ficha tu maradhi.. Puli haDi Obama alipiga sembuse wewe....
Well said, anapiga puli Halafu anatudanganya hapa
 
siku ingine ikitokea hivyo tafuta punje 1 ya kitunguu saumu kitoe maganda yake kisha nenda chooni kakojoe kisha inama huko huko chooni kitie hicho punje ya kitunguu saumu kwenye tundu yako ya haja kubwa hakikisha kimeingia chote na kuzama kisha nenda haraka kitandani kalale kwa dakika 5 kisha amka uume wako utasimama kama chuma cha pua na utakuwa na nguvu za ajabu sana jaribu kisha uje unipe feedback.
Mmmmh!! We mzimzi mkavu wewe [emoji15]
 
siku ingine ikitokea hivyo tafuta punje 1 ya kitunguu saumu kitoe maganda yake kisha nenda chooni kakojoe kisha inama huko huko chooni kitie hicho punje ya kitunguu saumu kwenye tundu yako ya haja kubwa hakikisha kimeingia chote na kuzama kisha nenda haraka kitandani kalale kwa dakika 5 kisha amka uume wako utasimama kama chuma cha pua na utakuwa na nguvu za ajabu sana jaribu kisha uje unipe feedback.
[emoji46] [emoji46] [emoji15] [emoji15] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom