Uume wangu hausimami vizuri, nifanyeje?

Uume wangu hausimami vizuri, nifanyeje?

Status
Not open for further replies.
Vijana,

Tumuogope MUNGU. Dhambi ya uzinzi ni mbaya sana, hapo unaweka hatiani uzao wako uliopo viunoni mwako. Kibaya zaidi, unakua umejiungamanisha na huyo ulie lala nae (mnakua mwili mmoja)

Na madhara unaweza usiyaone kwako ukaja kuyaona kwa watoto wako utakaoluja kuwazaa.

TUBU;

Hakuna fashion ya kua mzinifu.

Kila kitu kina wakati wake, subiri uoe ndipo ufanye.

Acha lufuata mkumbo.

tungekua wanaume wote wqpo Kama ww nahisi shetani angeingia motoni peke yake.mkuu. asante coz nishamshindaga shetani mpaka sasa hv bado napigana nae.
 
Kitunguu saumu kinasaidia kuifufuwa mishipa ya nguvu za kiume kitunguu saumu ni dawa ya nguvu ya kiume kwani mimi ninaweka Post ya utani unavyofikiria wewe nini?
Hapana dokta wewe tunakuamini humu JF docta ,, OK thanks kwa ushaur mzur naamin vijana sasa watajaribu kufanya hivyo,,mfano mm[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
siku ingine ikitokea hivyo tafuta punje 1 ya kitunguu saumu kitoe maganda yake kisha nenda chooni kakojoe kisha inama huko huko chooni kitie hicho punje ya kitunguu saumu kwenye tundu yako ya haja kubwa hakikisha kimeingia chote na kuzama kisha nenda haraka kitandani kalale kwa dakika 5 kisha amka uume wako utasimama kama chuma cha pua na utakuwa na nguvu za ajabu sana jaribu kisha uje unipe feedback.
Docta hicho ktunguu ktakaa kwa muda gani kwenye tundu la haja kubwa? Au knayeyuka chenyewe?[emoji15]
 
siku ingine ikitokea hivyo tafuta punje 1 ya kitunguu saumu kitoe maganda yake kisha nenda chooni kakojoe kisha inama huko huko chooni kitie hicho punje ya kitunguu saumu kwenye tundu yako ya haja kubwa hakikisha kimeingia chote na kuzama kisha nenda haraka kitandani kalale kwa dakika 5 kisha amka uume wako utasimama kama chuma cha pua na utakuwa na nguvu za ajabu sana jaribu kisha uje unipe feedback.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji220] [emoji220] [emoji220] [emoji220] [emoji220] [emoji220]
 
Mimi mwenyewe mara ya kwanza wakati ninaanza kugegedana na binti wa kwanza, uume ulikuwa goi goi, na baadae ukalala kabisa, yule binti alonishauri nivue kondom, niligoma kwa sababu nilihitaji kilinda afya yangu. Baada ya kushindwa tendo nilipata mawazo sana, siku iliyofuata ilibidi niendele kumuona doctor kwa ushauri na kama ikiwezekana nipate matibabu , kwa sababu nilihisi ninaulungufu wa nguvu za kiume, nilipofika kwa dactari alinishauri niwe free ninapokutana na mwanamke nisiwe na mashaka ya namna yeyote ila ti nisisahau kujikinga, next time nikapata demu wa pili, nikafuata ushauri wa dactari,niligegedaje, jani bao la kwanza nilimaliza baada ya nusu saa, na dabo uume ulikuwa umesimama ukihitaji mashambulizi zaidi , yaani nilidu kichizi, mpaka demu akaniambia amechoka, na akaniambia tutarudia tena tendo baada ya mwezi. Hilo tatizo ulilonalo ni dogo sana, usiwe na hofu unapokuwa na mwanamke.
 
Vijana,

Tumuogope MUNGU. Dhambi ya uzinzi ni mbaya sana, hapo unaweka hatiani uzao wako uliopo viunoni mwako. Kibaya zaidi, unakua umejiungamanisha na huyo ulie lala nae (mnakua mwili mmoja)

Na madhara unaweza usiyaone kwako ukaja kuyaona kwa watoto wako utakaoluja kuwazaa.

TUBU;

Hakuna fashion ya kua mzinifu.

Kila kitu kina wakati wake, subiri uoe ndipo ufanye.

Acha lufuata mkumbo.
Ushauri mzuri ila ukisubiri mpaka uoe wenzako huko wanamsonsomola vilivyo huyo unaemsubibiria, mimi Huwa nikifikiria hiyo nakata shauri
 
kinayeyuka chenyewe kitunguu saumu punje 1 tu.
Kudadeki huyu jamaaa anataka kuponza Watu, je kikianza kuwasha c ndo mwanzo wa kuanza kujitia vidole ili ukune, mwishowe uanze kutamn dyudyu tusipoangalia kwa tiba km hizi mashoga watakua weeengi sana
 
Vaa pete kwenye dude itasimama ila hayo ni madhara ya punyeto ya muda mrefu
 
Mimi mwenyewe mara ya kwanza wakati ninaanza kugegedana na binti wa kwanza, uume ulikuwa goi goi, na baadae ukalala kabisa, yule binti alonishauri nivue kondom, niligoma kwa sababu nilihitaji kilinda afya yangu. Baada ya kushindwa tendo nilipata mawazo sana, siku iliyofuata ilibidi niendele kumuona doctor kwa ushauri na kama ikiwezekana nipate matibabu , kwa sababu nilihisi ninaulungufu wa nguvu za kiume, nilipofika kwa dactari alinishauri niwe free ninapokutana na mwanamke nisiwe na mashaka ya namna yeyote ila ti nisisahau kujikinga, next time nikapata demu wa pili, nikafuata ushauri wa dactari,niligegedaje, jani bao la kwanza nilimaliza baada ya nusu saa, na dabo uume ulikuwa umesimama ukihitaji mashambulizi zaidi , yaani nilidu kichizi, mpaka demu akaniambia amechoka, na akaniambia tutarudia tena tendo baada ya mwezi. Hilo tatizo ulilonalo ni dogo sana, usiwe na hofu unapokuwa na mwanamke.
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom