Uume wangu huwa haulali baada ya tendo la ndoa msaada plz

Uume wangu huwa haulali baada ya tendo la ndoa msaada plz

ONYO;1.sijasema nataka madem wa jf.2.kejeli sitaki.3.siogop ban ninaakaunt nyng.4.mwenye msaada atoe ukishndwa potezea.
 
We kama mm zaman. nilikua nakula pweza sana ndo ishu izo zikawa zinanitokea punguza na ww utoomba ushauri tena
 
Nadhani wale wazee wanaopiga kama cha kuku wanatamani iwatokee hiyo hali japo mara moja moja ili kujenga jina kwa wapenzi wao
 
Back
Top Bottom