Uume wangu huwa haulali baada ya tendo la ndoa msaada plz

Uume wangu huwa haulali baada ya tendo la ndoa msaada plz

Toa maelezo- una umri gani,na umeoa au la. La sivyo ukiendelea na mzaha tatizo ni lako
 
Teh teh teh nadhani umepata ushauri wa kutosha kijogoo wa Jf.
 
not a problem but we need to elicit the past medical history!!have you had use any drug b4 inorder to stimulate the erection???
 
sijawai tumia ndugu ila nafanya sana mazoez,lifting na joging,je unazan inaweza changia?
 
Please Please Please tubadilishane ntakupa na pesa
 
Unguja wanajua kuzilaza...malindi wakujua? Simba alishika kikombe akanywa chai
 
Hili ni tatizo la mfumo wa damu mwilini anaweza akaja pata tatizo linaitwa PRiAPISIM ns kulilekebisha hadi upasuaji
 
Nikkaz dont talk Nikkaz do! Aliwazalo Mjinga Ndilo litakalomtokea! Mara nyingi watu wa tantalila hawana kitu ni makelele mengi akiwa kitandani akipiga kimoja tena ka cha kuku, cha pili mpaka kesho tena mpaka ibustiwe acha longolongo mademu wanaangalia fedha kwanza dushelele hata chizi anayo.

Bhaaaaassiii...
 
Back
Top Bottom