Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PichaSamahani me uume WANGU una rangi nyeupe na nyeusi ila penye nyeup panauma ni kama una ngozi nyepes sana naomba mwenye kujua shida nn anijuze 🙏🙏
Pole sana. Ulizaliwa hivyo au imekutokea tu?Samahani me uume WANGU una rangi nyeupe na nyeusi ila penye nyeup panauma ni kama una ngozi nyepes sana naomba mwenye kujua shida nn anijuze 🙏🙏
Unavaaga nguo mbichi ya ndani?Samahani me uume WANGU una rangi nyeupe na nyeusi ila penye nyeup panauma ni kama una ngozi nyepes sana naomba mwenye kujua shida nn anijuze 🙏🙏
Na wewe unataka pichaCassnzoba ....
Njoo umshauri mwanaume mwenzako🤣
Binadamu huwa tunatofautiana sana Mkuu.Mkuu hukuona Umuhimu wa kwenda Hospitali kabisa hadi uje uulize humu?
Hakuna jambo muhimu kama afya yako, hebu Fanya uende ukacheki Afya ili kama Kuna shida uanze matibabu mapema
Paka makapen nyeusiSamahani me uume WANGU una rangi nyeupe na nyeusi ila penye nyeup panauma ni kama una ngozi nyepes sana naomba mwenye kujua shida nn anijuze 🙏🙏