PichaSamahani me uume WANGU una rangi nyeupe na nyeusi ila penye nyeup panauma ni kama una ngozi nyepes sana naomba mwenye kujua shida nn anijuze ππ
Pole sana. Ulizaliwa hivyo au imekutokea tu?Samahani me uume WANGU una rangi nyeupe na nyeusi ila penye nyeup panauma ni kama una ngozi nyepes sana naomba mwenye kujua shida nn anijuze ππ
Unavaaga nguo mbichi ya ndani?Samahani me uume WANGU una rangi nyeupe na nyeusi ila penye nyeup panauma ni kama una ngozi nyepes sana naomba mwenye kujua shida nn anijuze ππ
Na wewe unataka pichaCassnzoba ....
Njoo umshauri mwanaume mwenzakoπ€£
Binadamu huwa tunatofautiana sana Mkuu.Mkuu hukuona Umuhimu wa kwenda Hospitali kabisa hadi uje uulize humu?
Hakuna jambo muhimu kama afya yako, hebu Fanya uende ukacheki Afya ili kama Kuna shida uanze matibabu mapema
Paka makapen nyeusiSamahani me uume WANGU una rangi nyeupe na nyeusi ila penye nyeup panauma ni kama una ngozi nyepes sana naomba mwenye kujua shida nn anijuze ππ