Uume wangu unasinyaa sana, unarudi ndani mno kinabakia kichwa tu

Asanteni wote kwa ushauri,nimeshapima magonjwa ya zinaa Mara tatu lakini sina kabisa maambukizi yoyote.naombeni mnielekeze hospitali nzuri ambapo nitapatiwa huduma nzuri.
Nenda agha kan utaonana nadaktar wa urology muhind Akbar zahri huyu mkuu kiswahili chakuunga unga jiandae kutema ung'eng'e
Au nenda TUMAINI yupo Prof Yongolo ni urologist.
 
Mkuu ni PM kwa maelezo zaidi
Haifai kukwambia humu
Hii ni kwa faida yako
Wacha tu kitovu kukuvuta kila unapojisaidia haja kubwa kitovu kinavuta huku unakojoa mkojo na unamwaga sperms kwa mchanganyiko
Asee pole saaana
Naomba uni PM kwa maelezo zaidi
Mkuu ni nashida kama yako nanimepita kwa hao ila sjapata ufumbuzi maana skuonekana ugonjwa wowote.ukifanikisha tiba tujuzane
 
Mkuu ni nashida kama yako nanimepita kwa hao ila sjapata ufumbuzi maana skuonekana ugonjwa wowote.ukifanikisha tiba tujuzane

Mkuu namshkuru mungu mimi ni mzima wa Afya kabisa,na utaaluma wa mambo haya ndio
Maana nikakwambia njoo PM ili nikupe msaada zaidi wa ushauri
Au kama upo tayari sema nikuelezee hapa hapa mbele ya kadamnasi
 
Pole sana ndugu huenda maambukizi ya zinaa yamechangia. Tafuta tiba mbadala utapona tu
 
Mkuu nashukuru sana,ila naomba kukuuliza kama wanapokea bima za afya NHIF.
 
Mkuu namshkuru mungu mimi ni mzima wa Afya kabisa,na utaaluma wa mambo haya ndio
Maana nikakwambia njoo PM ili nikupe msaada zaidi wa ushauri
Au kama upo tayari sema nikuelezee hapa hapa mbele ya kadamnasi
Mkuu ni bora ukaeleza hapahapa kwa faida ya vizazi vinavyokuja
 
Mkuu ni PM kwa maelezo zaidi
Haifai kukwambia humu
Hii ni kwa faida yako
Wacha tu kitovu kukuvuta kila unapojisaidia haja kubwa kitovu kinavuta huku unakojoa mkojo na unamwaga sperms kwa mchanganyiko
Asee pole saaana
Naomba uni PM kwa maelezo zaidi
Samahani mkuu wewe umejuaje hayo yote yanamsibu mleta mada?
 
Reactions: Luv
Mkuu namshkuru mungu mimi ni mzima wa Afya kabisa,na utaaluma wa mambo haya ndio
Maana nikakwambia njoo PM ili nikupe msaada zaidi wa ushauri
Au kama upo tayari sema nikuelezee hapa hapa mbele ya kadamnasi


Toroka Uje Mjini

Fanya hivi: kama una utaalamu basi umwage hapa kwa faida ya wanajukwaa. labda kama unafanya biashara ndo mwende pembeni.

salalanja
 
Kulingana Na Hizi Nyuzi Zako Wewe Ni Wazi Kuwa Ni Mtafuta Comments na Likes tu Huna lolote.

Mke wangu hanitaki - JamiiForums

Magari ya Serikali yamekuwa ya Abiria - JamiiForums
Kwa umri huu siwezi kuwa mtafuta like....Mimi sio MTU wa maringo na kujikweza hayo ndio matatizo yanayonihusu.kiujumla nahitaji msaada wa haraka.kama huna moyo wa kusaidia au huna ujuacho basi nakuomba tuu utulie maana hapa sichekeshi wala sitanii.hivi hapo kuna kitu au comment yoyote ya kutafuta like???
 
Mkuu Fanya sana mazoezi ya pushup na kuchuchumaa na unainuka itakusaidia sana,pia unaweza fanya mazoezi ya kurukaruka ukiwa uchi yani uume uwe free hii itasaidia kulefusha uume wako.
Aisee mazoezi ya kuruka ruka ukiwa uchi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…