Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hajaua sasa jamaniangeua?
Wakuu Mswalieni Mtume jamaniKwanini asiitishe mkutano na vijana wale wa Bajaji na awaombe msamaha? Huku hawapo
DC gani hawezi kucontrol emotions zake under pressure kidogo vile? Hafai
Kazi hana. Mama ataanza nayeBinafsi nimemsikiliza na nimeamua kumsamehebila masharti yoyote na nawaomba wadau wote wa JF mumsamehe .
Ulimi hauna mfupa
View attachment 1764033
wanasiasa wengi Tanzania ni masikini. mtu hana biashara wala wazo la biashara. hana pesa ya maana kwenye akaunti yake. madeni kibao.Angejiuzulu ingekuwa vizuri, hii nchi mbona viongozi hawawezi kabisa kuwajibika? Yaani angejiuzulu tu,saizi ataondolewa
Ungeweka na referenceBinafsi nimemsikiliza na nimeamua kumsamehebila masharti yoyote na nawaomba wadau wote wa JF mumsamehe .
Ulimi hauna mfupa
View attachment 1764033
Kesho nitafika Mbeya naomba uandae mazingira hapo Desderia nitakuwa Mbeya kwa siku tatu.Binafsi nimemsikiliza na nimeamua kumsamehebila masharti yoyote na nawaomba wadau wote wa JF mumsamehe .
Ulimi hauna mfupa
View attachment 1764033
Safi sanaBinafsi nimemsikiliza na nimeamua kumsamehebila masharti yoyote na nawaomba wadau wote wa JF mumsamehe .
Ulimi hauna mfupa
View attachment 1764033
Iko hapa hapa Jf , labda moderator atusaidieUngeweka na reference