Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mods futa huu uzi wa mla panya asiye na akili. Uzi umeshawekwa humu na ErythrocyteItazame video hapa chini mkuu wa wilaya ya iringa Richard Kasesera akiomba radhi baada ya kutumia lugha isiyo ya kistaarabu kwa waendesha bajaji .
..https://www.instagram.com/p/COGEF5rjZZV/?igshid=4uw8xwvp25yk
Kashatukana na watu tumeona sasa asubiri kutumbuliwa arudi kwao akalime avocadohatutaki radhi yake
Mnyarwanda utamjua tu, inshort unajichosha sana kushindana na mtanzania wakati wewe ni mrundi.Mods futa huu uzi wa mla panya asiye na akili. Uzi umeshawekwa humu na Erythrocyte
Hilo ndiyo jambo jemaBinafsi nimemsikiliza na nimeamua kumsamehebila masharti yoyote na nawaomba wadau wote wa JF mumsamehe .
Ulimi hauna mfupa
View attachment 1764033
Naye ni miongoni mwa ile 60% ya Prof AssadBinafsi nimemsikiliza na nimeamua kumsamehebila masharti yoyote na nawaomba wadau wote wa JF mumsamehe .
Ulimi hauna mfupa
Zaidi soma: Mkuu wa Wilaya Iringa, Richard Kasesela amtukana dereva bajaji mbele ya vyombo vya habari
View attachment 1764033
Kasesela atakuwa mkuu wa mkoa wa Pwani!Angejiuzulu ingekuwa vizuri, hii nchi mbona viongozi hawawezi kabisa kuwajibika? Yaani angejiuzulu tu,saizi ataondolewa