Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Binafsi nimemsikiliza na nimeamua kumsamehebila masharti yoyote na nawaomba wadau wote wa JF mumsamehe .
Ulimi hauna mfupa
Zaidi soma: Mkuu wa Wilaya Iringa, Richard Kasesela amtukana dereva bajaji mbele ya vyombo vya habari
Mkuu umeanza kutetea wahuni wenye ulevi wa madaraka lini?