Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Nakubaliana na wewe.Huyo alitakiwa awe ameshatumbuliwa mpaka sasa hivi sijui Rais anasubiri nini, haya mambo ndio yanafanya Rais aonekane haiwezi ile ofisi, too slow to react.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubaliana na wewe.Huyo alitakiwa awe ameshatumbuliwa mpaka sasa hivi sijui Rais anasubiri nini, haya mambo ndio yanafanya Rais aonekane haiwezi ile ofisi, too slow to react.
Kama alishasahau kuoalilia avocado basi imekula kwakeeToo late.
Asubiri PDF ya Grayson Msigwa
Kwani ID yake ya JF (USSR) inasemaje?Wakuu Mswalieni Mtume jamani
Jamaa anajifanyaga ni mtemi sana na kusahu kuwa nafasi aliyo nayo kikazi ni kubwa kuliko yeyekuomba radhi hakutoshi kufuta ile mitusi hadharani...aende mbele zaidi kuachia wadhifa huo wa ukuu wa wilaya ili KAZI IENDELEE [emoji123][emoji1241][emoji106]
Hadi sasa haujafutwa kanywe sumuMods futa huu uzi wa mla panya asiye na akili. Uzi umeshawekwa humu na Erythrocyte
Kazi hana. Mama ataanza naye
Kishaomba radhi jamaniMatusi yote tena anarudia rudia, kama bado yuko kazini ni aibu.
Toa makalio yako hapo!
Mlimtetea asubuhi kama kawaida yenu, au kutetea matusi nao ni utamaduni wa kitanzania?Huo ndio ustaarabu wa kitanzania
Huwa humung'unyi maneno ndo uzuri wako.Matusi yote tena anarudia rudia, kama bado yuko kazini ni aibu.
Kwa hiyo unangoja auwe!?Hajaua sasa jamani
Na wewe utulize yale aliyoyasema yeye...Asamehewe tu ameomba radhi
Kiukweli wale watu wanakera sana
Usifanye mchezo na bodaboda ni pasua kichwa
Asante sana DC Kasesela, huko ndio kuwiva kiakili na kisiasa.Binafsi nimemsikiliza na nimeamua kumsamehebila masharti yoyote na nawaomba wadau wote wa JF mumsamehe .
Ulimi hauna mfupa
Zaidi soma: Mkuu wa Wilaya Iringa, Richard Kasesela amtukana dereva bajaji mbele ya vyombo vya habari
View attachment 1764033
Hajaonesha kujutia kaulizake.ameomba msamaha kwaajili ya simu alizopigiwa.Binafsi nimemsikiliza na nimeamua kumsamehebila masharti yoyote na nawaomba wadau wote wa JF mumsamehe .
Ulimi hauna mfupa
Zaidi soma: Mkuu wa Wilaya Iringa, Richard Kasesela amtukana dereva bajaji mbele ya vyombo vya habari
View attachment 1764033
Mtaalam umenena vyema.Kwanini asiitishe mkutano na vijana wale wa Bajaji na awaombe msamaha? Huku hawapo
DC gani hawezi kucontrol emotions zake under pressure kidogo vile? Hafai