Uungwana: DC wa Iringa Mjini, Richard Kasesela aomba radhi kutokana na kuteleza kwa ulimi wake

Uungwana: DC wa Iringa Mjini, Richard Kasesela aomba radhi kutokana na kuteleza kwa ulimi wake

Mtumiaji wa madawa ya kulevya huwa anafanya maamuzi ama matendo ya ajabu sana anapokuwa kwenye mzubao wa ulevi (drunken stupour).

Lkn baada ya madawa haya kupungua nguvu mwilini na akili kurejea ktk hali yake ya kawaida hujutia.

Sasa DC Kasesela, kabla hajasamehewa autangazie umma kwamba anatumia kilevi gani?

Inaonesha, alipokuwa akiongea na wananchi alikuwa siyo Richard Kaseslela peke yake, kulikuwa na kitu kingijne cha ziada akilini mwake.

Kumsamehe Richard Kasesela ni dharau kwa wananchi aliowatukana kwamba watulize makalio.

Kiongozi mjifunze unyenyekevu kwa wananchi.
Kwani Bangi yenyewe inasemaje? Inamjua KASESELA kweli?
 
Ila ni kazi ngumu kuhutubia kundi la wanyonge "madereva wa bajaji" wakiwa katika hali ya mihemuko, hasa pale wanapohisi wanaonewa wakati unajaribu kuwafafanulia kuhusu kufuata utaratibu mzuri uliowekwa.
 
Haiihitaji Akili nyingi sana ukirejea Kuangalia ile Video ya Mtukanaji wa Iringa kujua kuwa Jamaa ( Mtukanaji ) yupo Frustrated mno na kwamba kuna Taarifa alishadokezwa ndiyo maana nae kaona amalize hasira zake za mwisho mwisho kwa Raia wa Iringa..
Ila mama ningemuomba sana sana kisarawe amuache tu JOKATE asimuondoe pale au kama ikibidi amuhamishie wilaya nyingine ila asimtoe kabisa unless kama kuna yaliyo chini siyajui kumuhusu.
 
Haiihitaji Akili nyingi sana ukirejea Kuangalia ile Video ya Mtukanaji wa Iringa kujua kuwa Jamaa ( Mtukanaji ) yupo Frustrated mno na kwamba kuna Taarifa alishadokezwa ndiyo maana nae kaona amalize hasira zake za mwisho mwisho kwa Raia wa Iringa...

Kigogo ameshasema kwamba Pdf ni kubwa kidogo la DC/RC.
 
Huyu Mkuu wa Wilaya, Kasesela anasubiri kutenguliwa badala ya kujiuzulu mwenyewe?

Anampima Mama kama ana masikio yanayosikia na macho ya kuona matusi aliyoyasema hadharani?

Kosa lile la kutukana hadharani linastahili kusamehewa? Lile ni kosa la jinai
 

Attachments

  • VID-20210425-WA0012.mp4
    2.3 MB
  • VID-20210425-WA0025.mp4
    11.2 MB
Huyu Mkuu wa Wilaya, Kasesela anasubiri kutenguliwa badala ya kujiuzulu mwenyewe?

Anampima Mama kama ana masikio yanayosikia na macho ya kuona matusi aliyoyasema hadharani?

Kosa lile la kutukana hadharani linastahili kusamehewa? Lile ni kosa la jinai
Hastahili msamaha
 
Kasesela ni muhuni hafai kuwa kiongozi ,ile lugha liyotumia ni ya wahuni wa kijiweni.....Sasa mtu kama huyo kuna Kiongozi yeyote anayejielewa akaenda kufanya maye mazungumzo kama DC?
 
Back
Top Bottom