Mtumiaji wa madawa ya kulevya huwa anafanya maamuzi ama matendo ya ajabu sana anapokuwa kwenye mzubao wa ulevi (drunken stupour).
Lkn baada ya madawa haya kupungua nguvu mwilini na akili kurejea ktk hali yake ya kawaida hujutia.
Sasa DC Kasesela, kabla hajasamehewa autangazie umma kwamba anatumia kilevi gani?
Inaonesha, alipokuwa akiongea na wananchi alikuwa siyo Richard Kaseslela peke yake, kulikuwa na kitu kingijne cha ziada akilini mwake.
Kumsamehe Richard Kasesela ni dharau kwa wananchi aliowatukana kwamba watulize makalio.
Kiongozi mjifunze unyenyekevu kwa wananchi.