johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ikumbukwe kuwa hayati Magufuli kama mwanafamilia alichangia Tsh. 38,000,000 katika mchango wa wanafamilia ili kuwezesha malipo ya faini ya mchungaji Msigwa.
Pamoja na ukweli kwamba fedha hizi zilitumika kumtoa Freeman Mbowe kwani mchungaji Msigwa alibahatika kutoka kwa michango ya wanachama na sisi wadau wa siasa.
Je, CHADEMA watarudisha hizi tsh 38m kwa familia ya mwendazake Magufuli?
Uungwana na Vitendo.
Jumapili njema!
Ikumbukwe kuwa hayati Magufuli kama mwanafamilia alichangia Tsh. 38,000,000 katika mchango wa wanafamilia ili kuwezesha malipo ya faini ya mchungaji Msigwa.
Pamoja na ukweli kwamba fedha hizi zilitumika kumtoa Freeman Mbowe kwani mchungaji Msigwa alibahatika kutoka kwa michango ya wanachama na sisi wadau wa siasa.
Je, CHADEMA watarudisha hizi tsh 38m kwa familia ya mwendazake Magufuli?
Uungwana na Vitendo.
Jumapili njema!