Uungwana ni vitendo: Je, CHADEMA watarudisha Tsh. 38 milioni zilizotolewa na hayati Magufuli kumtoa Msigwa jela?

Uungwana ni vitendo: Je, CHADEMA watarudisha Tsh. 38 milioni zilizotolewa na hayati Magufuli kumtoa Msigwa jela?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ikumbukwe kuwa hayati Magufuli kama mwanafamilia alichangia Tsh. 38,000,000 katika mchango wa wanafamilia ili kuwezesha malipo ya faini ya mchungaji Msigwa.

Pamoja na ukweli kwamba fedha hizi zilitumika kumtoa Freeman Mbowe kwani mchungaji Msigwa alibahatika kutoka kwa michango ya wanachama na sisi wadau wa siasa.

Je, CHADEMA watarudisha hizi tsh 38m kwa familia ya mwendazake Magufuli?

Uungwana na Vitendo.

Jumapili njema!
 
CHADEMA haijawahi kupigwa faini/kuhukumiwa tusichanganye mambo.Waliohukumiwa ni Watu individual hivyo na faini ililipwa Kwa jina la mtu aliyehukumiwa.
Hivyo na marejesho yatafanyika Kwa mtu aliyelipa faini na sio Chama.

Sasa hizo za Jiwe atarudishiwa yule aliyelipiwa ie Msigwa
 
Back
Top Bottom