Uungwana ni vitendo: Je, CHADEMA watarudisha Tsh. 38 milioni zilizotolewa na hayati Magufuli kumtoa Msigwa jela?

Uungwana ni vitendo: Je, CHADEMA watarudisha Tsh. 38 milioni zilizotolewa na hayati Magufuli kumtoa Msigwa jela?

Acha majungu. Msigwa alikataa kutolewa kwa fedha iliyotolewa na aliyemweka ndani. Mwulizeni Polepole, alizipeleka wapi baada ya Msigwa kukataa.
 
Kwani walizitoa mifukoni mwao?
Lakini zitarudishwa kwenye account zao! Mawazo ni mazuri sana, lakini pesa ni nzruri kabla haijapatikana tu! Kumbuka yale machozi mazito ya Lijuhalikali, ya kulilia Laki 5 yake, aliyo saini kukichangia chama!
 
Lakini zitarudishwa kwenye account zao! Mawazo ni mazuri sana, lakini pesa ni nzruri kabla haijapatikana tu! Kumbuka yale machozi mazito ya Lijuhalikali, ya kulilia Laki 5 yake, aliyo saini kukichangia chama!
Huyo Lijualikali ajue kuna watu walikuwa wanakatwa hizo laki tano na ndiyo ziliwezesha yeye kuupata Ubunge.
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ikumbukwe kuwa hayati Magufuli kama mwanafamilia alichangia Tsh. 38,000,000 katika mchango wa wanafamilia ili kuwezesha malipo ya faini ya mchungaji Msigwa.

Pamoja na ukweli kwamba fedha hizi zilitumika kumtoa Freeman Mbowe kwani mchungaji Msigwa alibahatika kutoka kwa michango ya wanachama na sisi wadau wa siasa.

Je, CHADEMA watarudisha hizi tsh 38m kwa familia ya mwendazake Magufuli?

Uungwana na Vitendo.

Jumapili njema!
Kwanza tujue hizo pesa zilitoka wapi serikalini ama familiya. Pili jamaa alikuwa si mkweli na mambo yake alifanya kwa kutamka hata uongo ukaonekana ukweli. Tutaaminije ? Kama kweli alilipa hizo pesa. Mf alituaminisha shirika la ndege linapata faida hadi wanatoa gawio. Jiulize ilo gawio walilitoa kutoka wapi wakati juzi tu CAG katuambia shirika lilikuwa likipata hasara.. LABDA WAONGEZEE UREFU WA SHIMO LA KABURI ILI HAKI NA UHURU UZIDI KITAMARAKI
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ikumbukwe kuwa hayati Magufuli kama mwanafamilia alichangia Tsh. 38,000,000 katika mchango wa wanafamilia ili kuwezesha malipo ya faini ya mchungaji Msigwa.

Pamoja na ukweli kwamba fedha hizi zilitumika kumtoa Freeman Mbowe kwani mchungaji Msigwa alibahatika kutoka kwa michango ya wanachama na sisi wadau wa siasa.

Je, CHADEMA watarudisha hizi tsh 38m kwa familia ya mwendazake Magufuli?

Uungwana na Vitendo.

Jumapili njema!
Ulikuwa wapi we johnthebaptist !!??
Nimefurahi kukuona jukwaani.
Hizo fedha zitarudishwa serikalini.
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ikumbukwe kuwa hayati Magufuli kama mwanafamilia alichangia Tsh. 38,000,000 katika mchango wa wanafamilia ili kuwezesha malipo ya faini ya mchungaji Msigwa.

Pamoja na ukweli kwamba fedha hizi zilitumika kumtoa Freeman Mbowe kwani mchungaji Msigwa alibahatika kutoka kwa michango ya wanachama na sisi wadau wa siasa.

Je, CHADEMA watarudisha hizi tsh 38m kwa familia ya mwendazake Magufuli?

Uungwana na Vitendo.

Jumapili njema!
CHADEMA haijawahi kupigwa faini/kuhukumiwa ni Watu individual hivyo na faini ililipwa Kwa jina la mtu aliyehukumiwa.

Mchungaji Msigwa ni mwanafamilia ya mwendazake ,Mchungaji na Familia yake watazitumia
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ikumbukwe kuwa hayati Magufuli kama mwanafamilia alichangia Tsh. 38,000,000 katika mchango wa wanafamilia ili kuwezesha malipo ya faini ya mchungaji Msigwa.

Pamoja na ukweli kwamba fedha hizi zilitumika kumtoa Freeman Mbowe kwani mchungaji Msigwa alibahatika kutoka kwa michango ya wanachama na sisi wadau wa siasa.

Je, CHADEMA watarudisha hizi tsh 38m kwa familia ya mwendazake Magufuli?

Uungwana na Vitendo.

Jumapili njema!
Kwa nini unataka zirudi alizotoa mwendazake tu? Kwa nini zilizotolewa na wananchi zisirudishwe?
 
Kwa kanuni za kifedha, malipo yanarudishwa kuegemea taarifa za "Receipt" ya mlipwaji. Kama jina lako halipo kwenye receipt imekula kwako.
 
Back
Top Bottom