Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ikumbukwe kuwa hayati Magufuli kama mwanafamilia alichangia Tsh. 38,000,000 katika mchango wa wanafamilia ili kuwezesha malipo ya faini ya mchungaji Msigwa.
Pamoja na ukweli kwamba fedha hizi zilitumika kumtoa Freeman Mbowe kwani mchungaji Msigwa alibahatika kutoka kwa michango ya wanachama na sisi wadau wa siasa.
Je, CHADEMA watarudisha hizi tsh 38m kwa familia ya mwendazake Magufuli?
Uungwana na Vitendo.
Jumapili njema!
Kiungwana Msigwa anatakiwa kurufisha ile pesa. Ni kama umechangiwa hela ya arusi halafu ukahairisha.
Hahahaaaa...... Muulize mwenyekiti wako alitokaje pale Segerea.
Mchungaji Msigwa alikataa offer ya CCM kupitia kwa Polepole.Kumbukumbu zangu zinanikumbusha offer ya Msigwa kutolewa kwa mchango huo chama na msigwa mwenyewe waliikataa.mwenye kumbukumbu nzuri atuletee kwa rejea.
Kwa hela ya nani?Sio kwa hela ya Magufuli.
Mchungaji Msigwa alikataa offer ya CCM kupitia kwa Polepole.
Ila " mzigo" wa wanafamilia wa mchungaji Msigwa ulipokelewa na chama!
Ahsante kwa ufafanuzi...hapo unapotosha.
..fedha zilizochangwa na familia ya Msigwa + Magufuli ziliwasilishwa mahakamani na mkurugenzi wa habari wa Ikulu Gerson Msigwa akiambatana na kaka yake Mh.Msigwa.
..Chadema hawakupokea fedha hizo.
Huo muktadha wako hauingii kwenye kesi hiyo, wao walishitakiwa Kama mtu mmoja mmoja sio chama, na hukumu ikatoka Kwa muktadha huo huo ndio maana kila mtu alipigwa faini yake peke yake na viwango tofauti piaChama ni nini? Ni sare za chama? au katiba ya chama? Je walisukumwa na mambo binafsi au imani ya chama? Kasome kamusi.
Angewekewa jiwe kubwa juu ya kaburi abaki kuzimu,milele na milele.Wataenda kuongezea zege kwenye kaburi lake ili ata siku ya ufufuko ashindwe kutoka afe Tena. Ikiwezekana resho ya sementi waeke Kali sana yani mifuko 2 ya sementi kwa ndoo 5 za mchanga
Ya tetemeko la Kagera.Kwa hela ya nani?
Swali langu ni jee wanafamilia wa Mswiga walikabidhi hizo pesa kwa Chadema au walilipa mojamoja kwa moja serikalini? Kama walikabidhi kwa Chadema, Chadema wanaweza kusema zilikuwa ni mchango wa pamoja wa kuwalipia faini wanachama wao na si mwanachama mmoja in particular. Ombi la Chadema lilikuwa ni kwa wanachama wao kwa ujumla wao na kila aliyechangia alijua hivyo. Kama ni hivyo Chadema watakuwa na haki ya kuzitumia kwa namna ambavyo wataona ina manufaa kwa chama. Ila wanafamilia wakidai warudishiwe basi bila shaka watawajibika kuwarudhia...Dr.Mashinji alitolewa na CCM-DSM hivyo fedha itarudi kwenye chama.
..Msigwa inasemekana Magufuli alichangia kama mwanafamilia hivyo fedha zitarudishwa kwenye FAMILIA nao wataona namna ya kugawana..
..Wafungwa wengine 7 walitolewa kupitia michango iliyosimamiwa na CHADEMA hivyo fedha hizo zitarudi ktk chama chao.
NB:
..Dr.Mashinji hakuwa miongoni mwa wakata RUFAA, lakini mahakama kuu imeamua kwamba hata yeye atafaidika na kufutiwa hukumu kama waliokuwa wafungwa wenzake.
Cc Fundi Mchundo
"Ikumbukwe kuwa hayati Magufuli kama mwanafamilia alichangia Tsh. 38,000,000 katika mchango wa wanafamilia ili kuwezesha malipo ya faini ya mchungaji Msigwa".Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ikumbukwe kuwa hayati Magufuli kama mwanafamilia alichangia Tsh. 38,000,000 katika mchango wa wanafamilia ili kuwezesha malipo ya faini ya mchungaji Msigwa.
Pamoja na ukweli kwamba fedha hizi zilitumika kumtoa Freeman Mbowe kwani mchungaji Msigwa alibahatika kutoka kwa michango ya wanachama na sisi wadau wa siasa.
Je, CHADEMA watarudisha hizi tsh 38m kwa familia ya mwendazake Magufuli?
Uungwana na Vitendo.
Jumapili njema!
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ikumbukwe kuwa hayati Magufuli kama mwanafamilia alichangia Tsh. 38,000,000 katika mchango wa wanafamilia ili kuwezesha malipo ya faini ya mchungaji Msigwa.
Pamoja na ukweli kwamba fedha hizi zilitumika kumtoa Freeman Mbowe kwani mchungaji Msigwa alibahatika kutoka kwa michango ya wanachama na sisi wadau wa siasa.
Je, CHADEMA watarudisha hizi tsh 38m kwa familia ya mwendazake Magufuli?
Uungwana na Vitendo.
Jumapili njema!
Atapewa Msigwa atazipeleka kwa mwalimu Janeth.Kwani walizipokelea Ufipa?
Tupe kumbukumbu zilizokuwa sahihi.Mchungaji Msigwa alikataa offer ya CCM kupitia kwa Polepole.
Ila " mzigo" wa wanafamilia wa mchungaji Msigwa ulipokelewa na chama!
Aligoma au alikuwa ameshalipiwa?Msigwa aligoma kutolewa na pesa za dhalimu mwendazake. Acha uongo. Hata gari la maccm aligoma kupanda.
Aligoma au alikuwa ameshalipiwa?
Watazipeleka pale Chato kama rambirambi... au kama vipi ili kumuenzi wataukarabati ule uwanja wa ndege kwa kuweka majosho ya kuogeshea ng'ombe baada ya ng'ombe hao kuota jua uwanjani.