Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
How?Kama ilivyo msisitizo katika kuvaa barakoa nashauri elimu itolewe uvaaji wa kondomu usisitizwe wakati wote kujiepusha na maambukizi japo unapunguza utelezi
Eeh
MmmmhHivi zipo!??
Wabongo bwana.Hivi zipo!??
Kama ni vituo vya kutolea huduma za afya, utafiti wako hauna uhalisiaNyinyi msivae ila kwa utafiti wangu uchwara kwa DSM kigamboni Temeke na kinondoni ukikutana na watu 7 wanne wapo kwenye matibabu ya ARV mmoja hajui hali yake wawili ni salama hii ni kwa mujbu wa utafiti wangu mdogo nlioufanya katika vituo vilivyopo izo sehem
Acha kamba wewe..Nyinyi msivae ila kwa utafiti wangu uchwara kwa DSM kigamboni Temeke na kinondoni ukikutana na watu 7 wanne wapo kwenye matibabu ya ARV mmoja hajui hali yake wawili ni salama hii ni kwa mujbu wa utafiti wangu mdogo nlioufanya katika vituo vilivyopo izo sehem
Tupe connections ya hayo magrouptitle yako imenitisha kidogo nikitaka kuuliza Kwani zinavaliwa mlegezo?
Ni Kweli maana binadamu wanapuuzia Sana vijana wadogo 14+ wanapandiana kavukavu si mchezo.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hivi zipo!??
Groups za Nini Tena ndugu?Tupe connections ya hayo magroup
japo kavu tamu, ila majuto yake ni mileletitle yako imenitisha kidogo nikitaka kuuliza Kwani zinavaliwa mlegezo?
Ni Kweli maana binadamu wanapuuzia Sana vijana wadogo 14+ wanapandiana kavukavu si mchezo.
Alafu zile condom alizobuni bwana mdogo mmoja ambazo alisema kuwa zikigusa papuchi yenye magonjwa inabadilika rangi lini zitakuwa mtaani?Kama ilivyo msisitizo katika kuvaa barakoa nashauri elimu itolewe uvaaji wa kondomu usisitizwe wakati wote kujiepusha na maambukizi japo unapunguza utelezi