Uvaaji Kondomu uboreshwe

Uvaaji Kondomu uboreshwe

Huwa naonaga ktk yale ma group ya telegram sex workers wana semaga wanatumia mafuta kupata utelezi wakidai una epusha michubuko. Na ona tabia imekubwa ni kubwa tayari ni TATIZO na linachochea maambukizi ya STDs

Ktk yale ma group ya telegram vijana wana mwagana mitindo tu
Bila link ni unafiq majnuni
 
Kama ilivyo msisitizo katika kuvaa barakoa nashauri elimu itolewe uvaaji wa kondomu usisitizwe wakati wote kujiepusha na maambukizi japo unapunguza utelezi
Kwani umekutwa na Nini?
 
Back
Top Bottom