Uvaaji wa Bikini unazeesha sana na haraka Uke

Uvaaji wa Bikini unazeesha sana na haraka Uke

Jina tena mkuu?! Anaitwa Professor Mfaransa
Hizo ni hekaya za mleta mada Mkuu nilitaka nikaupitie huo utafiti kwa sababu ya utafiti ninao ufanya.. Kuuliza kwangu nikaishia kugeuzwa mwanamke
 
Ninachoweza kuchangia kwa hili la uvaaji wa bikini ni uwezekano mkubwa wa kupata UTI.

UTI huambukizwa sana na uchafu wa kinyesi ukiingia njia ya mkojo. Anayevaa bikini, kile kipande chake huingia na kusugua sehemu za haja kubwa na ndogo, kutwa katika mihangaiko na mishughuliko ya aliyevaa. Uwezakano wa uchafu wa sehemu hizo kuingiliana ni mkubwa sana.


Mmmmh! Mbona mimi patagi hiyo UTI
 
Mimi mbona sivaagi pichu na niko fresh, hiyo hewa ni ipi hiyo
 
Raha yabikini huinataji kuivua ili ule papuchi unaisogeza bemben mchezo unanza
 
sikubaliani na huyo prof kwan ata mm naweza nikafanya utafiti na kuweka uzi hewan kwa kisingizio cha uprof lakn mtoa mada inaonekana katunga mwenyew kwa kisingizio cha prof
 
Nikikutana na mvaa kamba hizo huwa sijiamini naona kama nachezea kiberiti kwenye petrol!!..
 
Back
Top Bottom