supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,952
Tuache masihara mkuu huu mzigo mimi mwenyewe nautaka. Akikujibu naomba unishtue mkuu, post ya juu nimejikuta naweka ahadi utasema nipo nae nimempata[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]Huu mzigo ni wawapi?
Astafulilah [emoji12]Huu mzigo ni wawapi?
Siunaona unavyojichanganya we jamaa we ulisema huko single? Sasa huyo mwanaume katoka wapi, we shoga jinga kabisanina mpenzi humu anawacheka sana nayeye anachangia mimi ni wa kiume ! jf ina vituko
Umekuja na Id nyingine kujitetea, leo umepatwa tulia ikuingie we jamaaMkuu Miss Natafuta ni "ke" niliwasiliana mara kadhaa kwa simu.
Hapana hakuna utoto suala ni kwamba mwanaume mzima kwa nini ujifananishe na mke, unatafuta nini? Jiangalie we jamaa hayo malinda shauri yakomkuu huku watoto wengi mtu analazimisha eti mimi ni wa kiume najifanya wa kike asa if nilishawai kumuomba kitu! mimi nimetoa mada changia point huwezi kaa kimya ooh mimi ni fake wakati mwenyewe anatumia fake identity hapa kumbe huku jf watoto ni wengi leo nimejua
Thread haijakaa sawa. ungeandika "je, chupi mpya ni sawa kuvaa kabla ya kufua?"Kuna boss wangu wa kike ni rafiki yangu kiaina, ana roho nzuri sana na tunaelewana sana kiaina.
Alisafiri siku zilizopita kuna mtu akawa amepitisha chupi anauza nikamnunulia nae za kutosha jana nikampa. Asubuhi kanionesha ameivaa nikamuuliza umefua saa ngapi akaniambia chupi mpya unafua kwanini?
Huyu mama ni msomi na kaishi mbele miaka mingi tu kwahiyo anajua mambo mengi. Je chupi mpya haifuliwi?
Umekuja na Id nyingine kujitetea, leo umepatwa tulia ikuingie we jamaa
ficha upumbavu wako! ulinijulia wapi kwa mfano? halafu nijitetee ili iweje naitaji nini kwako kwa mfano jiangalie kwanza? wanaonijua wapo tenaMiss Natafuta ni member maarufu sana humu Jf sana sana uzuri zaidi mimi namjua kitambo sana..Rudi kwenye post za mwanzoni mwanzoni kwenye huu uzi utamuona jinsi alivyotaka kurudisha watu waendelee kurudi kucoment uzi anawakwepesha watu wasimuandame kwa Id yake ya Miss Natafuta..ID zote za miss Natafuta leo zipo ndani ya uzi huu huu kujitetea na kurudisha watu online wacomment mada ya kwenye uzi moja kwa moja
mkuu watasema hii ni id yangu ! hebu njoo pm mpenzi wangu nikuhug kabla sijalala babeMiss Natafuta ni mwanamke, hadi kwao nilishapita, andaeni michango ya harusi.
Waache wachonge mama,asiyejua maana usimwambie maanaficha upumbavu wako! ulinijulia wapi kwa mfano? halafu nijitetee ili iweje naitaji nini kwako kwa mfano jiangalie kwanza? wanaonijua wapo tena
mkuu watasema hii ni id yangu ! hebu njoo pm mpenzi wangu nikuhug kabla sijalala babe
Wa Mwanzanian kunako sato [emoji4]Tuache masihara mkuu huu mzigo mimi mwenyewe nautaka. Akikujibu naomba unishtue mkuu, post ya juu nimejikuta naweka ahadi utasema nipo nae nimempata[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]
achana nao baby njoo tujifunike zetuWaache wachonge mama,asiyejua maana usimwambie maana
Nakuja kipenda roho , wataambulia chabo tuachana nao baby njoo tujifunike zetu
Teh.. tuma miguu bathiii... Ushirombo mbali eti...Kwa mara ya kwanza leo nime okota hela gizani....[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
Mweeee.... ebu ukuje tuyajenge huku Ushirombo..[emoji5] [emoji5] [emoji5]
eti shemale hawaijui papuchi yangu ilivo tamu babe ! eti me shemale?Nakuja kipenda roho , wataambulia chabo tu
Shemale!!! Wasamehe bure kabisaeti shemale hawaijui papuchi yangu ilivo tamu babe ! eti me shemale?
nawaona tu hawana akili baby wangu !Shemale!!! Wasamehe bure kabisa
Madada wa humu sikuizi kuna utata kumbe wengi wao ni madume kwa ID za kikeMmmmmmh... jf siku hizi imevamiwa.
Kumbe kuwa mdada dili eeeh
atakuwa huyu Mr Natafutanina mpenzi humu anawacheka sana nayeye anachangia mimi ni wa kiume ! jf ina vituko