Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,092
- 8,784
Na akamuonyesha akiwa ameivaa, unaanzaje kumfunulia mwanamke mwenzako mattakko ili aone chupi aliyokununulia?maamuzi yaliyojaa ukakasi hasa zama hizi za ushoga na usagaji........"am thinking critically"
Badoo kidoogo kama wiki hiviiii.Kubuhu kunyooshana kunaendelea?
Badoo kidoogo kama wiki hiviiii.
Ha Ha ha
OK muchas gracias brother it was off the knockNi compliment tu, no need for defence. The smoothness in that reply, was off the knock.
Miss natafuta acha tabia ya kununulia wanawake chupi zawadi ziko nyingi bana unaona hadi anaanza kukuonesha alivyo ivaaaKuna boss wangu wa kike ni rafiki yangu kiaina, ana roho nzuri sana na tunaelewana sana kiaina.
Alisafiri siku zilizopita kuna mtu akawa amepitisha chupi anauza nikamnunulia nae za kutosha jana nikampa. Asubuhi kanionesha ameivaa nikamuuliza umefua saa ngapi akaniambia chupi mpya unafua kwanini?
Huyu mama ni msomi na kaishi mbele miaka mingi tu kwahiyo anajua mambo mengi. Je chupi mpya haifuliwi?
KbhSaa hizi nimeshaamua kukubali. Chochote kitakachotokea sawa.
Nishawahi kusema hii kitu nafikiri alikuja kwa id nyingine kukanushaUyu ni wa kiume,ila anatumia ID ya kike,tumuiteje kwa majina ya siku iz?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mmmmmmh... jf siku hizi imevamiwa.
Kumbe kuwa mdada dili eeeh
Mkuu unataka tusivae kabisa?Hivi mpaka karne hii bado kuna wanawake wanavaa chupi?
Kwanza mnapata wapi hela ya kununua chupi?
Ndio maana hatuendelei.
Siku hiz hawavai kabisaa baadhi yao yani tako tunaliona LiveMkuu unataka tusivae kabisa?
Mwanamke anayempenda mumewe havai chupi.Mkuu unataka tusivae kabisa?
Unaishi UK?
Siku hiz hawavai kabisaa baadhi yao yani tako tunaliona Live
Yes binafsi lazima niifue
SABABU KUBWA; kabla sijaichagua na kuinunua mimi ilishapitia kwenye mikono mbali mbali ya watengenezaji na wanunuzi hivyo basi kwa namna yoyote ilishikwa shikwa na pengine kudondoka chini kwa bahati mbaya etc na zaidi kipocho changu ni rahisi sana Ku respond magonjwa hivyo kinahitaji usafi making sana ambao mimi nauamini kuwa ni usafi sio upya wa kiwandani
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Leo kajichanganyaWalosema wewe ni wa kiume ila Unatumia ID ya kike wako sawa
Aaaaggghhhh confused, jinsia yako tafadhar kabla sijachangiaKuna boss wangu wa kike ni rafiki yangu kiaina, ana roho nzuri sana na tunaelewana sana kiaina.
Alisafiri siku zilizopita kuna mtu akawa amepitisha chupi anauza nikamnunulia nae za kutosha jana nikampa. Asubuhi kanionesha ameivaa nikamuuliza umefua saa ngapi akaniambia chupi mpya unafua kwanini?
Huyu mama ni msomi na kaishi mbele miaka mingi tu kwahiyo anajua mambo mengi. Je chupi mpya haifuliwi?
Aibu tupuMmmmmmh... jf siku hizi imevamiwa.
Kumbe kuwa mdada dili eeeh
Haiwezekani kuwa na kumbukumbu kwa sababu penye ukweli siku zote uongo hujotenga, mi nashangaa vipi mtu unajificha jinsia yako? Mi nadhani ukweli humuweka mtu huru Siku zote.Mara nyingi sana hujichanganya,ana sahau, muongo lazima awe na kumbukumbu