Ng'egera
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 766
- 419
Unatataka aitwe bwabwa auUyu ni wa kiume,ila anatumia ID ya kike,tumuiteje kwa majina ya siku iz?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatataka aitwe bwabwa auUyu ni wa kiume,ila anatumia ID ya kike,tumuiteje kwa majina ya siku iz?
samahani mkuu ina maana we huvai boxer?Hivi mpaka karne hii bado kuna wanawake wanavaa chupi?
Kwanza mnapata wapi hela ya kununua chupi?
Ndio maana hatuendelei.
kwa hiyo anajisahau anajichanganya?Walosema wewe ni wa kiume ila Unatumia ID ya kike wako sawa
Uyo aitwe chura mvaa kikukuUyu ni wa kiume,ila anatumia ID ya kike,tumuiteje kwa majina ya siku iz?
sio kaogeShemale!
utata huo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Akakuonyesha ameivaa...[emoji15] [emoji15]
Mara nyingi sana hujichanganya,ana sahau, muongo lazima awe na kumbukumbukwa hiyo anajisahau anajichanganya?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Met wapi single mother huyu!!
Jana alikua ananiponda ma Engineer wote wachafu wa boxer isipokua boss wake....
Sasa cjui boss anavaa boxer na chupi at the same time....
Hehehe za kuku.
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huyu mbona ana tuchanganya sasaMet wapi single mother huyu!!
Jana alikua ananiponda ma Engineer wote wachafu wa boxer isipokua boss wake....
Sasa cjui boss anavaa boxer na chupi at the same time....
Hehehe za kuku.
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
ana mabosi wawili [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kimbambi wa boss naona umekuja kivingine...!!!
Hehehehe hehee... Na umeumbuka KIBOYA kweli rafiki yangu....
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
interesting.....Story ni tamu tena ni nzuri.
Ujumbe wake pia ni mzuri.
Umeiweka stori kikike kike imekataa[emoji23]
Nikirudi kwenye Mada: nguo special za dukani hakuna haja ya kuifua sababu inatoka moja kwa moja kiwandani. Lakini nguo za mtumba inabidi uifue tu hata kama ni tshirt unaweza kutoka vipele mwili mzima, fungus na majipu
kashapata alichokuwa anatafuta 😀😀😀😀Miss natafuta kakimbia[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]
Aisee na wabongo mnavyofatilia duuhMara nyingi sana hujichanganya,ana sahau, muongo lazima awe na kumbukumbu
Aiseee hizo chupi zina rangi nyingi hadi zimekosa mvutoBiashara ya chupi za wanawake inalipa sana![]()
Usijali just an example ntakutumia zingineAiseee hizo chupi zina rangi nyingi hadi zimekosa mvuto
Au yawezekana ni antie Amina huyuu maana sina amani Na avatar yakemiss natafuta kaleta mada kwa kutumwa au ni yeye na kama ni yeye je yeye ni wa kiume