Uvaaji wa magauni mafupi, vimini, kikaptula

Uvaaji wa magauni mafupi, vimini, kikaptula

Mko poa walimbwende ?
Ngoja niwape darasa kidogo
Kimsingi uvaaji wa nguo fupi kwa wanawake pia ni fasheni ya mjini....nazungumzia gauni fupi,kimini au kikaptula(kichupi)...ila nazungumzia zaidi vimini na magauni mafupi......

1/Mazingira yanaruhusu?
Kabla hujavaa kimini au gauni fupi jiulize kwanza unaenda ofisini,sehemu ya ibada,starehe au kitaani tu au utapanda daladala?.....ukijiridhisha wewe jipigie tu kimini chako !!

2/Una miguu ?
Kuvaa tu kinguo kifupi wakati una miguu mibaya ni sawa na kujidhalilisha tu....km unajijua unatembelea mikono usivae vazi hili !!!

3/Kiatu kirefu ndio mwake
Ili utoke bomba na gauni fupi au kimini hakikisha unavaa kiatu kirefu , lakini kimini pia kinaweza kuvaliwa na flat shoes kikaeleweka....utaonekana wa kijanja !!!

4/Epuka kuinamainama
Ukivaa vazi fupi kamwe usitake kuinama unaweza kujikuta mali zako zinabaki nje.....Njia bora wakati unaokota/kuchukua kitu ni kuchuchumaa tu !!!

5/Kaa kwa staha
Wakati wa kukaa hakikisha unapishanisha miguu badala ya kuachanisha au kuitanua....utakaa uchi !!

6/Uvaaji wa kaptula fupi/kichupi
*huvaliwa chumbani au sehemu ya starehe
*Inapendeza ukivalia top au blauzi
*hakikisha miguu yako ipo soft
5e38f63d40c1dca971cfa93bfa274361.jpg


Mwanamitindo wa Uswaz
The Bitoz
Mimi ni bibi lakini kwa hili joto mtu asiniambie lolote. Tutaftie fan kwenye barabara tutavaa unachotaka othewise tuache tutavaa vitenge bila chochote chini, mabinti wetu watavaa vichupi na wajukuu watakaa uchi. Wanaume vaeni kaptula au chochote ili mradi makokolo yenu yapo safe. Dar haivaliki haisetiriki haiheshimiki hata kama sisi ni wakwe, wacha wanetu wavae chochote mi sijari joto kama Havana???? Angalia picha za havana na south America wamejificha uchi? Je inawapunguzia utu wao???
 
Heheheh atoto njoo unisaminishe, sijui ndo mguu wangu kama muwa wa mtibwa teh. Nyie kujiamini raha jamani teh teh

# teammbutananga#
 
Teh hivi maana ya mbutananga ni nini ??
Teh sijui ina maana ya kichagga. Ila mbutananga kama anavyojulikana ni mdada fulani amazing sana, yupo mamtoni. Huwa anauza chupi na bidhaa nyingine ila pia huwa anatoa somo la how to look sexy at home. Ni role model wangu kwenye suala zima la "confidence". Afu ni rafiki wa kufa kuzikana naa super mogul le mutuz. Naomba tu umgoogle ndo utanielewa vizuri
 
Teh sijui ina maana ya kichagga. Ila mbutananga kama anavyojulikana ni mdada fulani amazing sana, yupo mamtoni. Huwa anauza chupi na bidhaa nyingine ila pia huwa anatoa somo la how to look sexy at home. Ni role model wangu kwenye suala zima la "confidence". Afu ni rafiki wa kufa kuzikana naa super mogul le mutuz. Naomba tu umgoogle ndo utanielewa vizuri
Hahahaa asante nitamgoogle tu ,
Wachaga watatusaidia hapa nini maana ya mbuta
 
Mimi ni bibi lakini kwa hili joto mtu asiniambie lolote. Tutaftie fan kwenye barabara tutavaa unachotaka othewise tuache tutavaa vitenge bila chochote chini, mabinti wetu watavaa vichupi na wajukuu watakaa uchi. Wanaume vaeni kaptula au chochote ili mradi makokolo yenu yapo safe. Dar haivaliki haisetiriki haiheshimiki hata kama sisi ni wakwe, wacha wanetu wavae chochote mi sijari joto kama Havana???? Angalia picha za havana na south America wamejificha uchi? Je inawapunguzia utu wao???
Hujaelewa somo....
Sipingi uvaaji wenu ..
Nimetoa hints tu
Just relax......
 
Dah kamwonea tu ,angetumia tu busara huwezi jua baadae bi dada angemwonea huruma ...

Ila wanawake wametofautiana kuna mwingine ukimchana hivyo ndio anakupa mzigo
Mkuu lkn mchano wake una kaukweli
 
Sioni kwa nini mtu asivae kimini eti kwa sababu ana miguu mibaya/myembamba. Hata kama ataonekana kituko, so long as yeye yuko comfortable hakuna tatizo hapo.
 
Back
Top Bottom