Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo kweliWasabato wana roho mbaya sana.
KweliSiyo kweli
Unafikiri ushahidi wowoteKweli
Umesemaje..??.....halafu umezuuunguka ila bandiko lako la kishenzi lilikuwa linalenga para hii....Tahira wa miguu sabaKuna watu watatetea ulimbukeni huu kwa kisingizio cha sikukuu ya X-mass ambayo nayo ni upagani
Ile mijibaibui mieusi imeficha uso mzima na mijisoksi myeusi tiii unategemea nn kama sio kutengeneza oven wabongo tuache kufuatilia mambo yasotuhusu jamani hlo guo la xmass linavaliwa kwa masaa2 sasa anaetamba nalo mwaka mzima si balaa?Mbona hamuongelei wanaovaa vibandiko na hijab mwaka mzima? Kama utumwa tuanzie pale.
Msumari wa moto kwenye kidonda!Ukiwa arrogant, illiterate and No IQ like you is better you shut up..!!
1: Simu, laptop, Desktop, hii JF, unapopost anything online kokote, hivyo vifaa baba yako au mama yako aliviunda? Kama ni utumwa wa vitu tupa hivyo vitu ubaki empty.. Wtf!
2: Education system, almost 99% of what you learned, have been taught and graduated, ulijua ni system ya kiafrika au wazungu? Up to where you are, ulisomea education system ya baba yako? Lugha sio sbb, i talk misingi ya elimu na curriculum, au ulijua ni elimu ya kwenu huko ushambani.. Wht an idiot!!
3: Reasoning capacity yako huna hata kidogo, i said you have no IQ, anything good cha maendeleo wenzako wanaiga, so mengi mazuri wazungu wamevumbua tunasoma na kujua kisha tunafanya maendeleo, eg kutengeneza madawa, vifaa tiba, kusomea fani mbali mbali, kurusha na kutengeneza ndege, kilimo cha kisasa, mambo lukuki mazuri wazungu wamevumbua tunajifunza na kufanya maendeleo, ila ww sbb huna IQ, hujui hata maana ya Christmas ni nn, so i can't waste my time to educate you wildbeest, sbb hujijui.. Walking dead!!
North Korea unayosema, hakuna wezi wa teknolojia kutoka kwa wazungu kama NK.. Sbb ww ni pimbi hujui kitu, keep ur dead headed on blanket..!! Ur in total darkness!!
Nilipofika hapo ulipobold, nimeacha kusoma hayo mengine yaliyoendelea..Umesemaje..??.....halafu umezuuunguka ila bandiko lako la kishenzi lilikuwa linalenga para hii....Tahira wa miguu saba
Una laana...???
Jamaa ana chuki dhidi ya dini moja ya kikristo iliyoanzishwa na "wazungu wa rumi".Kuna ulimbukeni kama kuiga dini za wenzetu? Mbona unatambua uwepo wa Kristu. Je uislam ulitoka Africa na hao wanaovaa vibandiko na kuficha nyuso unawasemaje? At least hii ni shughuli ya muda wa mwezi mmoja basi je, wanaovaa maisha yao na ulimbukeni mbona hutaji?
Kama wewe ni mwafrika wa kweli basi abudu kwenye dini za babu zako siyo hizi za kuletewa. Ukishaabudu kwenye dini za kuja, kubali kila kitu.
Usitudanganye, sasa hivi Australia na New Zealand ni joto, je hawatavaa hayo mavazi? Oh hata wazungu wanatucheka. Unajicheka mwenyewe labda.
Lakini si mkristo?WEWE utakuwa ni msabato tu si vinginevyo