Uvaaji wa mavazi haya ni ulimbukeni wa kiwango cha juu sana

Uvaaji wa mavazi haya ni ulimbukeni wa kiwango cha juu sana

Ubarikiwe sana. Waroma wanadanganya ulimwengu ya kuwa wao ni wakristo ilihali wamepotosha mafundisho ya Yesu Kristo. Wanafiki wakubwa.
Mimi ni balaaa....nimekufukua huko na wewe bila kufikiri ukaja kama tahira vile..


Vipi mada zetu zile za makambi kuhudu xmas utatizishusha lini mkuu....Wajoli tunazisubiria kwa hamu
 
Wewe sio narrow IQ Bali ni Zero IQ, wanaovaa yale majoho yao wamebakiza macho tu tena mbaya zaid meusi kuanzia Jan 1 to Dec 31 wakipita k/koo huku wakiungumia ndani kwa ndani wakifika nyumbn wameiva, Na sisi nani anateswa na utamaduni wa kuiga? haya basi vua hio T-shirt inayokukera utembee uchi na uache chochote unachokifanya hapo(mana vyote umeiga) utembee uchi hvyo hvyo uende porini ukaish huko . Haya tuhamie huku, Hiv nani aliyepotezwa zaid na mzungu kama unavyosema, anayelazmishwa aiite j/mosi kama siku ya Saba(to) na akakubali au yule anayeamin kama jumapili ndo siku ya saba ni yupi hapo aliyeiga ila akatumia akili hata kdg kufkr? Ngoja nikuache yawezekana upo bussy kupika makande ya kesho. Jiwe gizani, kuna upande kat ya hizo mbili utakukurupusha tu hapo najua.
 
Africans tuna long way to go, am a born christian(now non beleiver) but inaumiza ona the level of hate and comparison kwa uislam..and islam hate to christianity pia.. Tukibaguliwa na wazungu tunaita racism but inside us tunabaguana kwa kigezo cha dini na makabila.. Lets change fellas..
japo umechanganya lugha ila ukweli kile ulicho kilenga kuwakumbusha wanajamii kimefika; hakna kitu ambacho ni sumu mbaya kama ubaguzi ndani ya mioyo ya watu, leo mkristo unambagua muislaum au muislaum unambagua mkristo kwa kigezo kipi hasa na ukiangalia hizi din tumeletwa tu na tumejikuta leo mm ni mkristo kwa sababu pengine kizazi changu kilikuwa katka mazingira ambayo wanzungu wenye imani ya kikristo walipita na leo mm najiita mkristo na vilex2 muislaum pia leo una imani hiyo ni kwa vile wazungu wenye imani hiyo walipita maneo ambayo ndio asili yako, lkn ebu fikiria kama hao wazungu wasingeweza kuja uku na kuambukiza imani zao kwa wazee wetu je ww ungezaliwa ukiitwa mkristo au muislam lahasha ww ungeitwa kwa majina ya wazee wako kwa imani yao ila ungeendelea kuitwa ni mtanzania, sasa kwann leo unaskia mtu anasema hupaswi kuchangamana na mkristo au muislaumunabaki unashangaa ni kwa kigezo gani wanena h, mara nyingi huwa nasikitika sana,naona ufahamu wetu umetekwa tayari na hao ambao mtoa mada anasema hataki kuwatumikia japo imani na tamaduni zingine za kwao unazitumikia. ebu ndg zangu tuache kujenga mazoe mabaya ya ubaguzi kati yetu na mara nyingi watu huwa hatufatilii hizi mambo ila ukianza kuzifatlia na ukazijua huwezi kumkuta shehe anatamka maneno ya hovyo kama haya au kiongozi wa kikristo aliyeiva akatamka maneno ya hovyo kma haya kw sababu wanajua
 
ushafua nguo zako? hili povu lililopo hapa linakutosha
 
japo umechanganya lugha ila ukweli kile ulicho kilenga kuwakumbusha wanajamii kimefika; hakna kitu ambacho ni sumu mbaya kama ubaguzi ndani ya mioyo ya watu, leo mkristo unambagua muislaum au muislaum unambagua mkristo kwa kigezo kipi hasa na ukiangalia hizi din tumeletwa tu na tumejikuta leo mm ni mkristo kwa sababu pengine kizazi changu kilikuwa katka mazingira ambayo wanzungu wenye imani ya kikristo walipita na leo mm najiita mkristo na vilex2 muislaum pia leo una imani hiyo ni kwa vile wazungu wenye imani hiyo walipita maneo ambayo ndio asili yako, lkn ebu fikiria kama hao wazungu wasingeweza kuja uku na kuambukiza imani zao kwa wazee wetu je ww ungezaliwa ukiitwa mkristo au muislam lahasha ww ungeitwa kwa majina ya wazee wako kwa imani yao ila ungeendelea kuitwa ni mtanzania, sasa kwann leo unaskia mtu anasema hupaswi kuchangamana na mkristo au muislaumunabaki unashangaa ni kwa kigezo gani wanena h, mara nyingi huwa nasikitika sana,naona ufahamu wetu umetekwa tayari na hao ambao mtoa mada anasema hataki kuwatumikia japo imani na tamaduni zingine za kwao unazitumikia. ebu ndg zangu tuache kujenga mazoe mabaya ya ubaguzi kati yetu na mara nyingi watu huwa hatufatilii hizi mambo ila ukianza kuzifatlia na ukazijua huwezi kumkuta shehe anatamka maneno ya hovyo kama haya au kiongozi wa kikristo aliyeiva akatamka maneno ya hovyo kma haya kw sababu wanajua
Naaaam nashukuru kaka, ndicho nilichokusudia haswaa kusema.. Tukiacha kubaguana na kuwa wamoja..tutafika mbali sana..tungechukuliana tuu kama binadamu bila kigezo chochote maisha yangeenda poa sana..
 
Aina hii ya mavazi huvaliwa Ulaya na Amerika ya kaskazini kipindi hichi cha mwaka kwa sababu ya baridi kali na barafu inayodondoka huko. Kichekesho ni pale unapomwona mtu mzima na akili zake amevaa mavazi haya hapa Dar huku joto likiwa kali kiasi kwamba wewe uliyevaa T-shirt tu unatamani kuivua utembee kifua wazi.

Huu ni ulimbukeni wa kiwango cha kupitiliza, hata Wazungu waliobuni aina hii ya mavazi wakiona mtu amevaa mavazi haya huku kwetu na joto lote hili la Dar huwa wanacheka sana, wanatudharau sana na kutuona bado sana sisi ni watumwa wa fikra.


View attachment 656653 View attachment 656654 View attachment 656655

Kuna watu watatetea ulimbukeni huu kwa kisingizio cha sikukuu ya X-mass ambayo nayo ni upagani tu wala haina maana yoyote katika dini ya KWELI ya KIKRISTO. Na wengine watasema ni namna ya kuvutia biashara; lakini bado haileti maana hata kidogo. Nasema haileti maana sababu hakuna uhalisia wowote ule wa kuvaa nguo kama hizi sana sana anayevaa anageuka kuwa kituko kwa wale wanaoelewa maana ya mavazi haya.

Kwa akili hizi sisi Waafrika tutabakia kuwa watumwa wa Wazungu mpaka siku ile BWANA YESU atakaporudi tena kwa mara ya pili. Kwa akili hizi ndio maana Wazungu wanatuibia madini yetu mpaka na mchanga pia wanachukua na kusafirisha kwenda kwao tena tukiwasindikiza sisi wenyewe mpaka uwanja wa ndege na bandarini huku tukiwalinda na silaha nzito, na wao kutuachia mahandaki matupu.

Ningekuwa mimi ni Rais wa nchi hii ningepiga marufuku kabisa aina hii ya ulimbukeni kama alivyofanya Rais wa Korea ya Kaskazini Kim Jong-un; amesema hataki kabisa kuona raia wake wanasheherekea X-mass ama wanajihusisha na tamaduni zozote zinazoambatana na sherehe hizi za kipagani zilizoanzishwa na Wazungu wa Rumi.
Yaani kitu kidogo tu kama vazi,na kusherehekea christmass,limekufanya utoe povu kiasi hiki,hii sikukuu,ni kama symbol tu,ya kukumbuka kuzaliwa kwa kristo,there is nothing hamrful in it,its just a mare day,
Kuna wakati wafuasi wa Yesu walikemewa kwamba wanafanya ambayo hayatakiwi kufanywa siku ya sabato,akawajibu wakosoaji,kwamba sabath is for men,not men for Sabbath,
Ni almost 2000years,karne 20 zimepita,ukitaka tufanye,na tuishi kama watu wa enzi hizo,utakuwa haujatumia akili yako vzr,
Mi nafikiri cha muhimu,ni kuangaria hawa wanaosherehekea hii sikukuu,wanatafakari nini?,wana mkumbuka nani?nini kina kuwa kimewaongoza ktk fikra zao,
 
Mleta mada una mawazo mgando sana, mbona huongelei wanaovaa sare za CCM kwenye shughuli za kiserikali?

mkuu umeniwahi tu...ndio nilikuwa nimeanza kutype the same thing. big up
 
Ungeenda kwenye point kwamba christmass inakukera....povu lote hilo la nn?
 
Mind Your Own Bisness , Kama Hujavaa Wewe Kinakuuma Nini ,,, HUJAMNUNULIA, HAJAKUOMBA PESA, HALI KWAKO, HAKUTEGEMEI KWA CHOCHOTE, shida nini ,, labda ungeleta mada ya eatery na ttcl maana inatuhusu
 
Waarabu wanavaa kanzu kutokana na hali ya hewa ya kwao ambayo ni jangwa na joto, unataka kutuambia kuwa waislam wote nao ni malimbukeni kwa kuvaa kanzu nchi zisizo na hali ya hewa kama arabuni? Vipi wale wanaivaa makoti ya suti miji yenye joto kama dar nao ni ulimbukeni?
 
Back
Top Bottom