Uvaaji wa mavazi haya ni ulimbukeni wa kiwango cha juu sana

Uvaaji wa mavazi haya ni ulimbukeni wa kiwango cha juu sana

Watu wamekuwa wakalisana labda kwa kuwa ndio tayari wameisha kuwa watumwa wa tamaduni za magharibi wewe umeona mavazi tu hata lugha wamebadili hawasalimii tena hujambo wanasalimia hai na mwingine anajibu hai lugha zetu ni mbaya ila kizungu ndio lugha bora mimi ninaunga mguu na tumbo kwa hilo tujaribu kubadilika
 
Maneno meengi lakini mwisho wa yote andiko lako limeelekezwa zaidi na chuki dhidi ya "dini ya wazungu wa rumi" ambayo wewe unaiona ni upagani.
Roman Catholic Church ni dhehebu la "kishetani". Pale ndipo makao makuu ya Ibilisi hapa duniani, Vatican City, St. Peters Church. Soma kitabu cha UFUNUO WA YOHANA utaelewa UKWELI.
 
Waaambie mkuu, tutaiga mengi tu, mtaani yanaonekena, wanawake wameona juzi, bado wanaume, bado ....
Utamaduni wetu kapuni, aibu...
 
Hata wale wanaovaa hijab na sijui nikabu na kuficha sura kama maninja wanakera kwakweli, yaani joto la Dar au Mtwara unakuta li janamke limejivika madudu meusi mpaka nyayoni. Kuiga kuiga
Ndio wale ambao hawaruhusiwi kuingia benki? nauliza tu
 
Ubarikiwe sana. Waroma wanadanganya ulimwengu ya kuwa wao ni wakristo ilihali wamepotosha mafundisho ya Yesu Kristo. Wanafiki wakubwa.
Mimi kila siku huwa nasema bila "uwoga", Roman Catholic Church ni "wakala" wa Ibilisi hapa duniani. Kanisa hili linapingana na kila kitu alichokisema BWANA YESU KRISTO. Wiki mbili zilizopita nilimsikia "papa" wao akisema eti Sala ya BABA yetu IBADILISHWE!
Nikajiuliza hivi huyu "papa" anatoa wapi kiburi cha kuibadilisha "SALA" aliyoifundisha "MESSIAH"?

Just imagine, mtu anasimama na kusema eti Sala ya BABA YETU, haiko sahihi. Ina maana alichofundisha MESSIAH siyo sahihi? Halafu bado watu wanasimama na kuutetea UKATOLIKI.
 
Aina hii ya mavazi huvaliwa Ulaya na Amerika ya kaskazini kipindi hichi cha mwaka kwa sababu ya baridi kali na barafu inayodondoka huko. Kichekesho ni pale unapomwona mtu mzima na akili zake amevaa mavazi haya hapa Dar huku joto likiwa kali kiasi kwamba wewe uliyevaa T-shirt tu unatamani kuivua utembee kifua wazi.

Huu ni ulimbukeni wa kiwango cha kupitiliza, hata Wazungu waliobuni aina hii ya mavazi wakiona mtu amevaa mavazi haya huku kwetu na joto lote hili la Dar huwa wanacheka sana, wanatudharau sana na kutuona bado sana sisi ni watumwa wa fikra.


View attachment 656653 View attachment 656654 View attachment 656655

Kuna watu watatetea ulimbukeni huu kwa kisingizio cha sikukuu ya X-mass ambayo nayo ni upagani tu wala haina maana yoyote katika dini ya KWELI ya KIKRISTO. Na wengine watasema ni namna ya kuvutia biashara; lakini bado haileti maana hata kidogo. Nasema haileti maana sababu hakuna uhalisia wowote ule wa kuvaa nguo kama hizi sana sana anayevaa anageuka kuwa kituko kwa wale wanaoelewa maana ya mavazi haya.

Kwa akili hizi sisi Waafrika tutabakia kuwa watumwa wa Wazungu mpaka siku ile BWANA YESU atakaporudi tena kwa mara ya pili. Kwa akili hizi ndio maana Wazungu wanatuibia madini yetu mpaka na mchanga pia wanachukua na kusafirisha kwenda kwao tena tukiwasindikiza sisi wenyewe mpaka uwanja wa ndege na bandarini huku tukiwalinda na silaha nzito, na wao kutuachia mahandaki matupu.

Ningekuwa mimi ni Rais wa nchi hii ningepiga marufuku kabisa aina hii ya ulimbukeni kama alivyofanya Rais wa Korea ya Kaskazini Kim Jong-un; amesema hataki kabisa kuona raia wake wanasheherekea X-mass ama wanajihusisha na tamaduni zozote zinazoambatana na sherehe hizi za kipagani zilizoanzishwa na Wazungu wa Rumi.
uandishi wako, neno " X-mass" unatia kichefuchefu
 
Hilo vazi huvaliwa ktk special occasions tu. Mbona siyo vazi la kawaida?!

Hapa kama wewe si msabato basi ni wale wanaojiita mashaidi wa yehova.
 
Yaani kitu kidogo tu kama vazi,na kusherehekea christmass,limekufanya utoe povu kiasi hiki,hii sikukuu,ni kama symbol tu,ya kukumbuka kuzaliwa kwa kristo,there is nothing hamrful in it,its just a mare day,
Kuna wakati wafuasi wa Yesu walikemewa kwamba wanafanya ambayo hayatakiwi kufanywa siku ya sabato,akawajibu wakosoaji,kwamba sabath is for men,not men for Sabbath,
Ni almost 2000years,karne 20 zimepita,ukitaka tufanye,na tuishi kama watu wa enzi hizo,utakuwa haujatumia akili yako vzr,
Mi nafikiri cha muhimu,ni kuangaria hawa wanaosherehekea hii sikukuu,wanatafakari nini?,wana mkumbuka nani?nini kina kuwa kimewaongoza ktk fikra zao,
So if X-mass is for men not men for X-mass; kwanini basi unaitumikia X-mass? Kwanini unakuwa mtumwa wa hiyo X-mass hata kupelekea kuvaa nguo ambazo ni mateso na kikwazo?? Kwanini unahangaika kuipamba miti kwa gharama kubwa mno? Je! Huko ndiko kumtafakari MESSIAH? Je! MESSIAH alikuagiza ufanye mambo hayo? Unayajua mafundisho na maagizo ya MESSIAH? Soma vizuri BIBLIA yako na utaelewa.

Sikukuu ya X-mass ni UPAGANI na wala siyo maagizo kutoka kwa MESSIAH. Sikukuu hii ilianzishwa miaka mingi sana kabla hata MESSIAH hajazaliwa duniani. Baada ya MESSIAH kufufuka na kupaa kwenda Mbinguni na UKRISTO ulipoanza kuenea, ndipo sasa wanafiki wa KIRUMI wakaingiza "tamaduni zao za kuabudu mungu wa jua (MITHRA)" kwenye mafundisho ya KIKRISTO. Wakaiingiza tarehe 25 December siku ambayo walikuwa wanasheherekea kuzaliwa kwa "jua" Mithra na kuifanya siku ya kuzaliwa kwa MESSIAH. Ukweli ni kwamba MESSIAH hakuzaliwa December 25, bali alizaliwa kati ya mwezi wa SEPTEMBER au OCTOBER mwanzoni.

Kama ni kweli tuna nia ya dhati kukumbuka siku ya kuzaliwa MESSIAH, kwanini basi tusitafute siku ambayo inakaribiana na Mwezi wa 9 au Mwezi wa 10 na kuifanya kuwa ndiyo siku ya kuzaliwa MESSIAH badala ya kung'ang'ania siku ambayo ni ya KIPAGANI??
Hata siku moja MUNGU hana shirika na Beliari, hata siku moja MUNGU hafungamani na upagani na uabudu sanamu. Hata siku moja huwezi kuvichanganya viungo vya KRISTO na UPAGANI.
 
uandishi wako, neno " X-mass" unatia kichefuchefu
Hivyo ndivyo ilikuwa inaandikwa tokea mwanzo. Sikukuu hii ya KIPAGANI (X-mass) ilikuwapo duniani miaka mingi sana kabla hata MESSIAH hajazaliwa duniani. Sikukuu hii ilikuwa inasheherekewa kuzaliwa kwa "jua" au "mungu wa jua" aliyekuwa akiitwa MITHRA. Watu wa kale waliamini kuwa mungu huyo wa KIPAGANI alizaliwa kwenye pango tarehe 25 December. Tena waumini wa Mithra walikuwa wanachorwa alama ya "X" kwenye vipaji vya nyuso sao kwa rangi nyekundu.

Soma historia ndugu yangu utajua mengi. Zaidi ya yote soma sana NENO LA MUNGU, nawe utaijua KWELI nayo hiyo KWELI itakuweka huru.
 
Ni maoni yako
Pia unaonekana umeiga baada ya kuona huko korea....
Acha maigizo ....
Chapa kazi.
Sio maoni yake....ni upuuzi uliotukuka kuvaa mivazi ya baridi kwenye joto la dar...kwani tunasherehekea xmas ya kizungu au? White xmas....bullshi.t.
 
Ukisema nina "laana" au sina "laana" haiwezi kusaidia kuundoa ukweli ulio dhahiri kabisa.
Huo unaita ukweli ni kwa mujibu wako n hiko kikundi chako cha kihuni...

Sikukuu ya X-mass
Kwanza sio X-mass ni X-mas)

ni siku ya kuabudu "mungu wa jua wa kipagani"(Mithras).
Kwasasa hivi huyo mungu wako jua yupo..?? Ana exist...???

Siku hii iliingizwa kwenye kanisa la Roma (Roman Catholic Church) na Emperor Constantine ambaye alikuwa ni muumini wa dini ya Mithra.
Dini ya Mithra..?? Constantine hakuwai kuanzisha Sikukuu ya Xmas hata siku moja...

Cha ajabu zaidi Emperor Constantine alijifanya kuwa "askofu" wa Roman Catholic church na hata siku moja hakuwahi "kubatizwa". M
Naomba unipe ushahidi wa Constantine kuwa Askofu..., Alikuwa Askofu wa wapi... Yani jimbo gani..? Na uaskofu wake ulianza lini na uliisha lini...???



Nipo
 
Constantine wa Roma, ndiye aliyebadilisha siku ya kuabudu kutoka JUMAMOSI ambayo ndiyo SABATO ya kweli na kuihamishia siku ya JUMAPILI ambayo ni siku ya kwanza ya Juma
Je! Unao ushahidi wa wazi kabisa kuwa kabla ya huyo Constantine wako hajabadilisha hiyo siku yako ya Jumamosi, wakristo walikuwa Wanasali lini..???

NB: najua Constantine alizaliwa lini, alikufa lini, alifanya nini......yote najua hivyo usijaribu kunidanganya
 
Je! Unao ushahidi wa wazi kabisa kuwa kabla ya huyo Constantine wako hajabadilisha hiyo siku yako ya Jumamosi, wakristo walikuwa Wanasali lini..???

NB: najua Constantine alizaliwa lini, alikufa lini, alifanya nini......yote najua hivyo usijaribu kunidanganya
Je! Unajua kuwa Emperor Constantine licha ya kuwa Bishop of Roman Catholic Church, hakuwahi kubatizwa kabisa? Mtu unawezaje kuwa Askofu wa kanisa bila kubatizwa?? Nikisema Wakatoliki mmeingia mkenge utakataa?

Historia ni ushahidi tosha kabisa.
 
Huo unaita ukweli ni kwa mujibu wako n hiko kikundi chako cha kihuni...

Kwanza sio X-mass ni X-mas)

Kwasasa hivi huyo mungu wako jua yupo..?? Ana exist...???

Dini ya Mithra..?? Constantine hakuwai kuanzisha Sikukuu ya Xmas hata siku moja...

Naomba unipe ushahidi wa Constantine kuwa Askofu..., Alikuwa Askofu wa wapi... Yani jimbo gani..? Na uaskofu wake ulianza lini na uliisha lini...???



Nipo
Tutabishana sana hapa lakini ukweli ni kwamba Emperor Constantine alikuwa ni wakala wa Ibilisi. Tena yeye naweza sema alikuwa ndiyo "papa" wa kwanza. Historia mnayofundishwa Wakatoliki imechakachuliwa ili kuuficha UKWELI. Ikiwa mnaweza kuichakachua BIBLIA mtashindwaje kuchakachua historia yenu wenyewe???

Lakini kama unaelewa KIINGEREZA vizuri hebu soma hicho kifungu kidogo cha historia ya Emperor Constantine;

While we are told the first “Pope” was the disciple Peter (Peter never kept Sunday/Easter/Christmas nor did he believe in a Trinity God) it was actually Emperor Constantine. Constantine held the title “Pontifex Maximus” which literally means “High Priest” of the sun god Zeus/Apollo (Greek incarnations of Nimrod/Tammuz). He was the High Priest of his god Apollo also known as Mithra the sungod. Apollo and Mithra are just other name for Nimrod/Tammuz that evolved out of ancient Babylon as the languages were confused at the Tower of Babel. Constantine’s religion was called The Cult of Sol Invictus which means the Cult of the Invincible Sun. Constantine was a sun worshipper as the religion of Babylon was literally transplanted to Rome. I covered that in my last book and again in both The Kingdom of YHVH and The Yahushaic Covenant.

The Pope of Rome to this day holds the same title of Pontiff and to this day worships the same sungod. This “Roman religion” is known as The Cult of Sol Invictus or The Cult of the Invincible Sun. The Cult of Sol Invictus dates back to the Babylonian religion created by Semiramis defined in my book Mystery Babylon – The Religion of the Beast..

History records that Constantine became the first “Christian” Emperor of Rome and played a major role in converting the pagan Roman Empire to “Christianity”. This is actually true. The religion of Christianity was actually created by the Roman Emperor and High Priest of Apollo. This religion created by Constantine was nothing new, it was the exact same religious system dating back to Babylon and the same religion Constantine worshipped before and until his death… sun worship. Constantine was a follower of Christos Mithra whose followers were known as Christians. It was identical in every way to worship of the stars (Sun/Moon/Planets) that originated in Babylon.

Christians today claim that “God” came to Constantine in a “vision” of a “cross” and Constantine converted to a servant of Jesus Christ. Well actually this is true, sort of. Actually Constantine just renamed Tammuz/Apollo/Mithra to “Jesus” and converted the world to his existing religion as history proves. As the “legend” goes, Constantine was on his knees worshipping the Sun facing East (as sun worshippers do) and saw a vision of the cross of Tammuz and was told “in this sign conquer”. “Conquering” humanity through force and converting by threat of death… is the total opposite of the Messiah’s Message of evangelism through love and regeneration through faith. Constantine then went on to conquer the known world for his god Tammuz which he created at the Council of Nicaea and called Jesus H. Christ. He did so through MUCH bloodshed and converted through the threat of death (the inquisition). There is zero chance that Constantine was a true believer we know this because of his fruit. We also know this because his coins remained inscribed “dedicated to the Invincible Sun” until his death.



Historical Background of The Emperor Constantine

After the death of Constantine’s father, his brother Maxentius was in line for the throne and stood in the way of Constantine. On 312 A.D., on October 28th at Stone Milvian Bridge at the Tiber River, Constantine’s army was greatly outnumbered as it was arrayed in battle against the army of Maxentius. It was then, while Constantine bowed before the Sun in worship to Baal, he saw a “cross” and heard a voice “in this sign conquer”. As I stated before in my book The Mystery Religion of Babylon the “cross” was the universal sign of Tammuz a cutout of the center of The Zodiac. So it is no surprise Constantine while bowing to the sun saw the Cross of Tammuz… that was his religion.

This command he heard to go forth and conquer was the same expression used in Revelation 6:2 of the rider on the white horse that goes out to conquer and to conquer (an image of the False Messiah). Constantine went forth from that point and conquered the pagan world through his new religion and much bloodshed.

Revelation 6:2

And I saw, and behold a white horse: and he that sat on him had a bow; and a crown was given unto him: and he went forth conquering, and to conquer.

We see above that this rider went forth with a crown (an Emperor) and a bow (the symbol of Nimrod/Tammuz the great hunter) to conquer. The exact historical image of Constantine (the founder of Christianity). This same “bow” is carried to this day by the subsequent “Pontifex Maximus” the Pope of Rome. It is a “bowed cross” and the staff of the Pope. The Pope literally wears a two horned Mitre (two horns like a goat) on his head carrying about a cross in the shape of a bow. On top of this staff is the cross of Tammuz with the image of the false messiah renamed Hesus Horus Krishna (Jesus H. Christ) or latin I.H.S. This false messiah is none other than Tammuz the pig of Ishtar in name and sacrifice.......
 
Back
Top Bottom