Uvaaji wa nguo ya ndani aina ya bikini

Zaman ilikua unafunua chupi ndio uone makalio ila siku Hiz unafunua makalio ndio uone chupi. Kwel mabadiliko
 
Bikini inastiri sana ukivaa na dinner dress, kwakuwa haiweki ramani, tafuta inayokutosha tu. Kwakifupi sizipendi sana, lakini ninazo 2/3 zinavaliwa inapobidi.
Hahaha yaan ninazo na nazpend ila matumiz sas haha maea nyingne navaa n jeans ...kwa usiku na support kbsa ila sas kulibandua huk kunako hahaha
 
Hahaha
 
Hahaha yaan ninazo na nazpend ila matumiz sas haha maea nyingne navaa n jeans ...kwa usiku na support kbsa ila sas kulibandua huk kunako hahaha
Mimi wa kizazi cha Enzi ya mwalimu ninapenda pichu ijae mpaka kiunoni. Hizo bikini nikitoka dinner nikirudi tu ninavua.
 
Inaitwa G-string...... Ndio fashion yake mkanda kupitamo hapo katikati. Usichomoe acha
Hahahahahahah katikati kinakwangua jamani hahaa
 
Mimi wa kizazi cha Enzi ya mwalimu ninapenda pichu ijae mpaka kiunoni. Hizo bikini nikitoka dinner nikirudi tu ninavua.
Hahahahahaha unapenda chup kama fuko o machine hahahaha mm labd nikiwa niko mwezin
 
Ukiona hivyo ujue umenunua fake. Original ni laini kabisa ukivaa unajisikia rakhaaaaaaa
Hahahahahah jaman kuna bikini feki?[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Hahahahahah jaman kuna bikini feki?[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ndio. Hivi huoni hata ukienda kununua chupi za kawaida kuna za shilingi 500, kuna buku, kuna buku mbili, buku tano. Unadhani zinafanana?? Vaa mchina uone utakavyochubuka
 
Nikiwa room alafu manzi angu akivaa bikini uwa napenda bcoz anakua so attractive
 
Ndio. Hivi huoni hata ukienda kununua chupi za kawaida kuna za shilingi 500, kuna buku, kuna buku mbili, buku tano. Unadhani zinafanana?? Vaa mchina uone utakavyochubuka
Hahaa mmh ngoja nichunguze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…