Lady N
JF-Expert Member
- Nov 1, 2009
- 1,914
- 132
na ndo maana tangu mwanzo unatikiwa ujue mwenzi anapenda nini na hapendi nini ili kukwepa msuguano siku za mbeleni, by the way nguo anayokuchagulia kama ni moja kati ya nguo zako ulizo nazo ndani sioni shida, ila kama ndo mnafanya shoping ni lazima kuwa makini hapa maana unawezanunua nguo ambayo huwezi kuivaa tena