felakuti
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 659
- 1,207
Wakuu mambo si mambo..
Watu na wadau wakubwa wa mtandao wa X zamani Twitter, tumepata shambulizi ambalo hata Elon Musk anakiri hajawahi kupata ama kuona shambulizi kubwa kama Hilo la kimtandao
Wadau wa X tunalia wenye tuliokua na wafuasi zaidi ya elfu 10, wengine elfu 20 wengine laki, laki 5,, tunafungua tunakuta una 0 followers [emoji24] , watafanyaje kurudisha hao followers wote...
This is disastrous...
Tunabubujikwa ...
Watu na wadau wakubwa wa mtandao wa X zamani Twitter, tumepata shambulizi ambalo hata Elon Musk anakiri hajawahi kupata ama kuona shambulizi kubwa kama Hilo la kimtandao
Wadau wa X tunalia wenye tuliokua na wafuasi zaidi ya elfu 10, wengine elfu 20 wengine laki, laki 5,, tunafungua tunakuta una 0 followers [emoji24] , watafanyaje kurudisha hao followers wote...
This is disastrous...
Tunabubujikwa ...