mjumbe wa bwana
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 5,252
- 6,118
Sio yeye tu Jana BBC nasikia na wale wa fedha mtandao wanalalamikia Korea imechota fedha na unataka ziingiza kwenye mzunguko wa fedha wa kawaidaKama Elon Musk hajatengeneza huu mchezo yeye mwenyewe kwa sababu binafsi basi Elon Musk atakuwa yuko overrated sana kwenye uwezo wa kiteknolojia.
Jamaa sio smart wala intelligent kihivyo kwa namna anayozungumziwa na watu, bali mjanja mjanja sana.