Uvamizi mkubwa wa kimtandao umefanyika kwenye kampuni ya mtandao wa kijamii wa X

Uvamizi mkubwa wa kimtandao umefanyika kwenye kampuni ya mtandao wa kijamii wa X

Kama Elon Musk hajatengeneza huu mchezo yeye mwenyewe kwa sababu binafsi basi Elon Musk atakuwa yuko overrated sana kwenye uwezo wa kiteknolojia.
Jamaa sio smart wala intelligent kihivyo kwa namna anayozungumziwa na watu, bali mjanja mjanja sana.
 
Kwani Folloaz wana umuhimu gani mkuu?
Kwa wafanya biashara ama ma activists Ina umuhimu kwao,, kwa mfanya biashara ni bingo mana una uhakika ukiweka bidhaa yako au kutangaza biashara yako unawafikia watu wengi kwa wakati mmoja
Kwa ma activitists kama unavyojua wanahitaji kua na followers wengi kuwasilisha hoja zao walizozikusudia kwa jamii
 
Wakuu mambo si mambo..

Watu na wadau wakubwa wa mtandao wa X zamani Twitter, tumepata shambulizi ambalo hata Elon Musk anakiri hajawahi kupata ama kuona shambulizi kubwa kama Hilo la kimtandao

Wadau wa X tunalia wenye tuliokua na wafuasi zaidi ya elfu 10, wengine elfu 20 wengine laki, laki 5,, tunafungua tunakuta una 0 followers [emoji24] , watafanyaje kurudisha hao followers wote...

This is disastrous...

Tunabubujikwa ...
Cc
Ronaldo
 
Wakuu mambo si mambo..

Watu na wadau wakubwa wa mtandao wa X zamani Twitter, tumepata shambulizi ambalo hata Elon Musk anakiri hajawahi kupata ama kuona shambulizi kubwa kama Hilo la kimtandao

Wadau wa X tunalia wenye tuliokua na wafuasi zaidi ya elfu 10, wengine elfu 20 wengine laki, laki 5,, tunafungua tunakuta una 0 followers [emoji24] , watafanyaje kurudisha hao followers wote...

This is disastrous...

Tunabubujikwa ...
Ngoja BODI ya LIGI ije
 
Kama Elon Musk hajatengeneza huu mchezo yeye mwenyewe kwa sababu binafsi basi Elon Musk atakuwa yuko overrated sana kwenye uwezo wa kiteknolojia.
Jamaa sio smart wala intelligent kihivyo kwa namna anayozungumziwa na watu, bali mjanja mjanja sana.
Hana lolote ni janja janja tu mwenye hela nyingi.

N de A
 
This was just DDOS.

Musk mwenyewe kachemka hajaweka some servers behind Cloudflare.
Oh I see brother..how long do you think it will take to resolve the situation in scenarios like DDOS
 
Kama Elon Musk hajatengeneza huu mchezo yeye mwenyewe kwa sababu binafsi basi Elon Musk atakuwa yuko overrated sana kwenye uwezo wa kiteknolojia.
Jamaa sio smart wala intelligent kihivyo kwa namna anayozungumziwa na watu, bali mjanja mjanja sana.
Ana pesa ya kuwalipa geniuses kumfanyia kazi.

Anadai wameanza kutrace kujua wahusika.
 
Back
Top Bottom