Kule content creator wanalipwa kiongoziKwani Folloaz wana umuhimu gani mkuu?
Eloni kasemajeWakuu mambo si mambo..
Watu na wadau wakubwa wa mtandao wa X zamani Twitter, tumepata shambulizi ambalo hata Elon Musk anakiri hajawahi kupata ama kuona shambulizi kubwa kama Hilo la kimtandao
Wadau wa X tunalia wenye tuliokua na wafuasi zaidi ya elfu 10, wengine elfu 20 wengine laki, laki 5,, tunafungua tunakuta una 0 followers [emoji24] , watafanyaje kurudisha hao followers wote...
This is disastrous...
Tunabubujikwa ..
Wakuu mambo si mambo..
Watu na wadau wakubwa wa mtandao wa X zamani Twitter, tumepata shambulizi ambalo hata Elon Musk anakiri hajawahi kupata ama kuona shambulizi kubwa kama Hilo la kimtandao
Wadau wa X tunalia wenye tuliokua na wafuasi zaidi ya elfu 10, wengine elfu 20 wengine laki, laki 5,, tunafungua tunakuta una 0 followers [emoji24] , watafanyaje kurudisha hao followers wote...
This is disastrous...
Tunabubujikwa ...
Watashindwaje kurudisha wakati database ipo? Si wanarestore tu?Wakuu mambo si mambo..
Watu na wadau wakubwa wa mtandao wa X zamani Twitter, tumepata shambulizi ambalo hata Elon Musk anakiri hajawahi kupata ama kuona shambulizi kubwa kama Hilo la kimtandao
Wadau wa X tunalia wenye tuliokua na wafuasi zaidi ya elfu 10, wengine elfu 20 wengine laki, laki 5,, tunafungua tunakuta una 0 followers [emoji24] , watafanyaje kurudisha hao followers wote...
This is disastrous...
Tunabubujikwa ...
This was just DDOS.Wakuu mambo si mambo..
Watu na wadau wakubwa wa mtandao wa X zamani Twitter, tumepata shambulizi ambalo hata Elon Musk anakiri hajawahi kupata ama kuona shambulizi kubwa kama Hilo la kimtandao
Wadau wa X tunalia wenye tuliokua na wafuasi zaidi ya elfu 10, wengine elfu 20 wengine laki, laki 5,, tunafungua tunakuta una 0 followers [emoji24] , watafanyaje kurudisha hao followers wote...
This is disastrous...
Tunabubujikwa ...
Mungu anatosha kwa Simba,Natamani followers wa simba wabaki 0
Ili upate faida ganiNatamani followers wa simba wabaki 0
Tatizo baadhi walinunua account kwa watu zenye followers, sasa kuandaa content za kuwashawishi watu waku follow ndo mtitiNikajua kengine kumbe unalilia followers?!
Mungu hatumii mtandao wa xMungu anatosha kwa Simba,