mjumbe wa bwana
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 5,252
- 6,118
Sio yeye tu Jana BBC nasikia na wale wa fedha mtandao wanalalamikia Korea imechota fedha na unataka ziingiza kwenye mzunguko wa fedha wa kawaidaKama Elon Musk hajatengeneza huu mchezo yeye mwenyewe kwa sababu binafsi basi Elon Musk atakuwa yuko overrated sana kwenye uwezo wa kiteknolojia.
Jamaa sio smart wala intelligent kihivyo kwa namna anayozungumziwa na watu, bali mjanja mjanja sana.
DDOS ni jambo ambalo unatakiwa ujiandae nalo kabla halijatokea.Oh I see brother..how long do you think it will take to resolve the situation in scenarios like DDOS
Nchi2/3 duh, sasa na wewe unatongoza kweli?Kama vipi wahack na miparachichi nyie watu ambao mna inches 3 kwenda juu mnatudharaulisha sana sisi wa Inches 2 kwa wanawake
Watuwekee wote nchi mbili tu kama burundi na Rwanda mamayee
Mimi nimeingia nashangaa news feed kila nikirefresh haziji.na activities pia.kumbe kuna wamba wameshafanya yao.Ndimana naona x iko slow sana leo
🤣🤣🤣 wanajiita ma bro ni cheo hichoKwani Folloaz wana umuhimu gani mkuu?
Limekua saiv zaman nilkua na ANTARNTICA BARA ZIMA INCH MOJANchi2/3 duh, sasa na wewe unatongoza kweli?
Aaaah! SawaMtandao umerudi katika Hali ya kawaida Sasa. Restored.
Kwa hyo we ukikosa followers ndy unapagawa...mitandao kweliWajinga wa aina yako ndio mtaji mkubwa wa chama tawala nchini