Uvamizi wa Hamas ni "false flag" ya Mossad au ni "failure"

Uvamizi wa Hamas ni "false flag" ya Mossad au ni "failure"

Unaambiwa kabla ya kuanza mashabulizi mapema lei asubuhi, defence system za Israel zilijam ndipo mvua ya roketi zikaanza kurundima katika nchi ya Israel.

Israel Inasemekana walikuwa kwenye marekebisho ya rada na mitambo yao mbalimbali ya setelite. Kwani ubalazi wa marekani tanzania na kenya sababu ilikuwa ni hiyo :::siku unapoamua kusafisha. Bunduki ya nyumbani ndo majambazi yanapaokujia
 
Rekebisha kichwa cha habari Jamaa sio mvamizi kwenye hiyo ardhi bali hao wayahudi feki "wazungu" ndio wavamizi
 
Back
Top Bottom