Uvamizi wa Hamas ni "false flag" ya Mossad au ni "failure"

Uvamizi wa Hamas ni "false flag" ya Mossad au ni "failure"

Wakuu Salam!
Kama Uzi unavyosomeka imekuaje Israel ikajisahau namna hiyo Hadi wa palestina wakafanya uharibifu huu?
Wajuvi wa mambo ebu tupeni za ndani ndani maana sio kawaida namna hiyo.
 
waliwavizia na Iran ipo nyuma. Iran anataka kuwaweka wayahudi busy ili wasifikirie kumvamia yeye. wakimaliza hao wanaweza kuanza hezbulah any time. uzuri ni kwamba Mungu wa Israel alishaahidi, hatawaacha wala hatawapungukia "milele", kwahiyo magaidi yatashindwa tu.
Kumbe mungu ni wa Israel sisi waafrika ni shobo tu
 
waliwavizia na Iran ipo nyuma. Iran anataka kuwaweka wayahudi busy ili wasifikirie kumvamia yeye. wakimaliza hao wanaweza kuanza hezbulah any time. uzuri ni kwamba Mungu wa Israel alishaahidi, hatawaacha wala hatawapungukia "milele", kwahiyo magaidi yatashindwa tu.
Hapa kuna lakutafakari,

Israel Taifa teule la Mungu, hivi huu usemi unapimwa kwa kipimo gani, Mungu atawalinda, daah, ase wayahudi wamefanikiwa sana kupitisha ajenda zao kupitia imani,

Chunguza sana utagundua Mauaji ya kinyama wao ndio wanaongoza, Wamekalia Ardhi ya watu kimabavu, bado wanaendelea kujenga nyumba za walowezi na kujitanua upande wa Palestine, duh ase hawa ndio watu wa Mungu mnao wasifia , INATAFAKARISHA SANA
 
Vita ni timing hakuna jipya. waendelee mpaka mwisho wasiamuliwe. Tuna taka ama Hamasi wawamalize waisrael au Israel iwamalize Palestine. Hatutaki masalia, waachwe wachapane mpaka mwisho.
 
Iran anataka vita na israel sana kupitia Hamas na mshirika mkuwa wa Israel ni Marekani. Utata unakuja kwasababu Marekani haiwezi kupigana vita viwili kwa mpigo kuanzia mzigo wa Ucraine ambayo tayari imeshindwa vita na upande wa pili ni israel na Hamas.

Iran na Marekani ni wanafiki wa chinichini mbele za vyombo vya habari wanachukiana lakini pembeni wanaoendana sana. Septemba 13 USA walimpa Iran 6 billion dollars. Na Iran ni adui wa Israel. Lengo la propaganda ya vita ya leo wanataka kujenga hekalu la tatu au third temple pale jerusalem na Iran ashapewa chake dola billion 6 ili amuuze mpalestina.

Wote wanasubiria ujio wa anti christ vita ya leo ni maigizo tuu.
Marekani haipigani vyote yoyote kwa sasa.
 
Ili ukisikia "ya'allah",ujue limetua jichoni mwa mtu.
Mungu wa deen ya Wayahudi Amewaagiza Wayaishi haya ili wafaulu!
[emoji116][emoji116]
Deuteronomy 19:20-21
[20]Na watakaosalia watasikia na kuogopa, wasifanye tena uovu mfano wa huo katikati yako.

[21]Wala jicho lako lisiwe na huruma; uzima kwa uzima, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa
mkono, mguu kwa mguu.

Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
 
Vita ni timing hakuna jipya. waendelee mpaka mwisho wasiamuliwe. Tuna taka ama Hamasi wawamalize waisrael au Israel iwamalize Palestine. Hatutaki masalia, waachwe wachapane mpaka mwisho.
Mkuu kinachoendela sasa hivi ukanda wa Gaza unaenda kufanywa magofu!
 
Back
Top Bottom