Uvamizi wa Hamas ni "false flag" ya Mossad au ni "failure"

Uvamizi wa Hamas ni "false flag" ya Mossad au ni "failure"

Iran anataka vita na israel sana kupitia Hamas na mshirika mkuwa wa Israel ni Marekani. Utata unakuja kwasababu Marekani haiwezi kupigana vita viwili kwa mpigo kuanzia mzigo wa Ucraine ambayo tayari imeshindwa vita na upande wa pili ni israel na Hamas.

Iran na Marekani ni wanafiki wa chinichini mbele za vyombo vya habari wanachukiana lakini pembeni wanaoendana sana. Septemba 13 USA walimpa Iran 6 billion dollars. Na Iran ni adui wa Israel. Lengo la propaganda ya vita ya leo wanataka kujenga hekalu la tatu au third temple pale jerusalem na Iran ashapewa chake dola billion 6 ili amuuze mpalestina.

Wote wanasubiria ujio wa anti christ vita ya leo ni maigizo tuu.

Hizi info umezitoa wapi?
 
Iran anataka vita na israel sana kupitia Hamas na mshirika mkuwa wa Israel ni Marekani. Utata unakuja kwasababu Marekani haiwezi kupigana vita viwili kwa mpigo kuanzia mzigo wa Ucraine ambayo tayari imeshindwa vita na upande wa pili ni israel na Hamas.

Iran na Marekani ni wanafiki wa chinichini mbele za vyombo vya habari wanachukiana lakini pembeni wanaoendana sana. Septemba 13 USA walimpa Iran 6 billion dollars. Na Iran ni adui wa Israel. Lengo la propaganda ya vita ya leo wanataka kujenga hekalu la tatu au third temple pale jerusalem na Iran ashapewa chake dola billion 6 ili amuuze mpalestina.

Wote wanasubiria ujio wa anti christ vita ya leo ni maigizo tuu.
Yaani iran awasaliti palestine kwa dola billion 6 hv iran hzo story zenu za kujifasiji baada iron dome kufail kuzuia local missiles zinazotengenezwa uwani
 
Wajuzi wa mambo mnaofatilia, bila shaka mtakubaliana na mimi kua haya mashambulizi ya leo kwa kiasi kikubwa yamefanikiwa na yamesababisha Casualties kama vifo vya wanajeshi pamoja na vifaa.

Swali langu ni kua ni kweli Mossad wameshindwa ku detect hii issue kwakua kwa walichokifanya imechukua muda kujiandaa au ni " false flag" waisrael wanataka kuosafisha gaza ?
Mambo yale yale ya September 11 ya kujipiga na kutangaza ugaidi Duniani!!
 
waliwavizia na Iran ipo nyuma. Iran anataka kuwaweka wayahudi busy ili wasifikirie kumvamia yeye. wakimaliza hao wanaweza kuanza hezbulah any time. uzuri ni kwamba Mungu wa Israel alishaahidi, hatawaacha wala hatawapungukia "milele", kwahiyo magaidi yatashindwa tu.
Hv mungu wa wa israel ndio mungu huyo huyo mnaoabudu wakristo?maana km mungu mwenyewe ndio huyo yesu halafu wamempga vile mpk kabaki na boxer sidhani km bado ana upendo nao hao wayahudi
 
Iran anataka vita na israel sana kupitia Hamas na mshirika mkuwa wa Israel ni Marekani. Utata unakuja kwasababu Marekani haiwezi kupigana vita viwili kwa mpigo kuanzia mzigo wa Ucraine ambayo tayari imeshindwa vita na upande wa pili ni israel na Hamas.

Iran na Marekani ni wanafiki wa chinichini mbele za vyombo vya habari wanachukiana lakini pembeni wanaoendana sana. Septemba 13 USA walimpa Iran 6 billion dollars. Na Iran ni adui wa Israel. Lengo la propaganda ya vita ya leo wanataka kujenga hekalu la tatu au third temple pale jerusalem na Iran ashapewa chake dola billion 6 ili amuuze mpalestina.

Wote wanasubiria ujio wa anti christ vita ya leo ni maigizo tuu.
Hiyo alirudishiwa sio alipewa! Hiyo fedha ni yake Iran
 
Iran anataka vita na israel sana kupitia Hamas na mshirika mkuwa wa Israel ni Marekani. Utata unakuja kwasababu Marekani haiwezi kupigana vita viwili kwa mpigo kuanzia mzigo wa Ucraine ambayo tayari imeshindwa vita na upande wa pili ni israel na Hamas.

Iran na Marekani ni wanafiki wa chinichini mbele za vyombo vya habari wanachukiana lakini pembeni wanaoendana sana. Septemba 13 USA walimpa Iran 6 billion dollars. Na Iran ni adui wa Israel. Lengo la propaganda ya vita ya leo wanataka kujenga hekalu la tatu au third temple pale jerusalem na Iran ashapewa chake dola billion 6 ili amuuze mpalestina.

Wote wanasubiria ujio wa anti christ vita ya leo ni maigizo tuu.
Utakuwa Msabato wewe
 
Binafsi naona Mossad yupo nyuma ya hili. Wameruhusu Hamas wajitanue na wametumia social media kutafuta huruma. Kuna mtu lazima wanamtarget na retaliation itakua sio ya kitoto.
wayahudi ni tofauti na ndugu zake mood. huwa hawawezi kusacrifice raia wao kiasi hicho, kwamba wakubali raia wao wafe na kujeruhiwa namna hii kwasababu wanataka kuanzisha vita? never.
 
Unaambiwa kabla ya kuanza mashabulizi mapema lei asubuhi, defence system za Israel zilijam ndipo mvua ya roketi zikaanza kurundima katika nchi ya Israel.
Wajuzi wa mambo mnaofatilia, bila shaka mtakubaliana na mimi kua haya mashambulizi ya leo kwa kiasi kikubwa yamefanikiwa na yamesababisha Casualties kama vifo vya wanajeshi pamoja na vifaa.

Swali langu ni kua ni kweli Mossad wameshindwa ku detect hii issue kwakua kwa walichokifanya imechukua muda kujiandaa au ni " false flag" waisrael wanataka kuosafisha gaza ?
 
Iran anataka vita na israel sana kupitia Hamas na mshirika mkuwa wa Israel ni Marekani. Utata unakuja kwasababu Marekani haiwezi kupigana vita viwili kwa mpigo kuanzia mzigo wa Ucraine ambayo tayari imeshindwa vita na upande wa pili ni israel na Hamas.

Iran na Marekani ni wanafiki wa chinichini mbele za vyombo vya habari wanachukiana lakini pembeni wanaoendana sana. Septemba 13 USA walimpa Iran 6 billion dollars. Na Iran ni adui wa Israel. Lengo la propaganda ya vita ya leo wanataka kujenga hekalu la tatu au third temple pale jerusalem na Iran ashapewa chake dola billion 6 ili amuuze mpalestina.

Wote wanasubiria ujio wa anti christ vita ya leo ni maigizo tuu.
Wote wanasubiria ujio wa anti christ vita ya leo ni maigizo tuu.

Hapo katika ujio wa anti christ ,ukipata muda njoo na uzi wake mkuu
 
Back
Top Bottom