Uvamizi wa Hamas ni "false flag" ya Mossad au ni "failure"

Uvamizi wa Hamas ni "false flag" ya Mossad au ni "failure"

waliwavizia na Iran ipo nyuma. Iran anataka kuwaweka wayahudi busy ili wasifikirie kumvamia yeye. wakimaliza hao wanaweza kuanza hezbulah any time. uzuri ni kwamba Mungu wa Israel alishaahidi, hatawaacha wala hatawapungukia "milele", kwahiyo magaidi yatashindwa tu.
Mungu huyo huyo wa Israeli amesema kwenye kitabu Cha Zechariah sura ya 14,

Zekaria 14:1-2
[1]Tazama, siku moja ya BWANA inakuja, ambayo mateka yatagawanyika kati yako.
Behold, the day of the LORD cometh, and thy spoil shall be divided in the midst of thee.
[2]Kwa maana nitawakusanya mataifa yote walete vita juu ya Yerusalemu; na huo mji utapigwa, nazo nyumba zitatekwa, nao wanawake watatendwa jeuri; na nusu ya watu wa mji watatoka kwenda utumwani; ila mabaki ya watu wa mji hawatakatiliwa mbali.
For I will gather all nations against Jerusalem to battle; and the city shall be taken, and the houses rifled, and the women ravished; and half of the city shall go forth into captivity, and the residue of the people shall not be cut off from the city.
 
Mungu huyo huyo wa Israeli amesema kwenye kitabu Cha Zechariah sura ya 14,

Zekaria 14:1-2
[1]Tazama, siku moja ya BWANA inakuja, ambayo mateka yatagawanyika kati yako.
Behold, the day of the LORD cometh, and thy spoil shall be divided in the midst of thee.
[2]Kwa maana nitawakusanya mataifa yote walete vita juu ya Yerusalemu; na huo mji utapigwa, nazo nyumba zitatekwa, nao wanawake watatendwa jeuri; na nusu ya watu wa mji watatoka kwenda utumwani; ila mabaki ya watu wa mji hawatakatiliwa mbali.
For I will gather all nations against Jerusalem to battle; and the city shall be taken, and the houses rifled, and the women ravished; and half of the city shall go forth into captivity, and the residue of the people shall not be cut off from the city.
kama hujui, miaka hiyo bado haijafika, hatujui ni lini ila ni karibu mno, ambapo mataifa yooote yatakusanyika dhidi ya israel, hata marekani itaigeuka, watakimbilia milimani kwa kuzidia nguvu, na hapo ndipo Mungu wa Israel atakaposhuka kwa nguvu zake, atawatandika wote kwa mvua ya mawe, matatemeko, radi na kila aina ya vita za mbinguni, na 3/4 yao watakufa. miaka hiyo ipo. hivyo usiokote tu mstari na kuutumia bila kujua majira yake. upo?
 
kama hujui, miaka hiyo bado haijafika, hatujui ni lini ila ni karibu mno, ambapo mataifa yooote yatakusanyika dhidi ya israel, hata marekani itaigeuka, watakimbilia milimani kwa kuzidia nguvu, na hapo ndipo Mungu wa Israel atakaposhuka kwa nguvu zake, atawatandika wote kwa mvua ya mawe, matatemeko, radi na kila aina ya vita za mbinguni, na 3/4 yao watakufa. miaka hiyo ipo. hivyo usiokote tu mstari na kuutumia bila kujua majira yake. upo?
Nafahamu vizuri si ni muendelezo wa Zechariah 14:3-5, ila nilikuwa nakurekebisha tu uliposema Israeli hapigwi kirahisi, nilikuwa nakuonyesha anaweza pigwa vilevile.

Israeli imeruhusu ushoga ambalo ni kinyume na Sheria za Mungu wa kweli, naona zamu hii itakuwa mwanzo wa Mungu wa kweli kuondoa ulinzi mdogomdogo.

Vita unayoiona hii naamini Ina baraka za Iran ya chinichini, Iran itapambana na Israeli katika ardhi ya nchi nyingine kimkakati zaidi.
 
Nafahamu vizuri si ni muendelezo wa Zechariah 14:3-5, ila nilikuwa nakurekebisha tu uliposema Israeli hapigwi kirahisi, nilikuwa nakuonyesha anaweza pigwa vilevile.

Israeli imeruhusu ushoga ambalo ni kinyume na Sheria za Mungu wa kweli, naona zamu hii itakuwa mwanzo wa Mungu wa kweli kuondoa ulinzi mdogomdogo.

Vita unayoiona hii naamini Ina baraka za Iran ya chinichini, Iran itapambana na Israeli katika ardhi ya nchi nyingine kimkakati zaidi.
sio kwamba israel hataumiza, ataumia but at the end of the day yeye ndiye atakayeshinda vita.
 
sio kwamba israel hataumiza, ataumia but at the end of the day yeye ndiye atakayeshinda vita.
Inawezekana ila naamini kitu kimoja:

Mungu huwaadhibu watu wake wakitenda dhambi Ili watubu, alifanya hivyo mara nyingi kwenye Agano la Kale kwa kuwaacha mikononi mwa adui zao.

Juzi tu hapa waliwatemea mate Wakristo, na ukijumlisha na sheria za ushoga, hasira ya Mungu imewaka, Hawa watapigwa kama ngoma mpaka watubu.
 
tunafuraha kwamba, mateka wa kiyahudi waliokuwa wameshikiliwa na hamas wameshaachiwa, negotiation imefanyika kati ya israel na hamas, sasa wataanza kupigwa bila huruma.
 
Ukiutazama mgogoro wa Israel vs palestinians...
Na comments za west world ( ambao ni ndio wahubiri wa haki za binaadam) ..utagundua tofauti ya mtu mwenye dini na asiye na dini ( just)
 
waliwavizia na Iran ipo nyuma. Iran anataka kuwaweka wayahudi busy ili wasifikirie kumvamia yeye. wakimaliza hao wanaweza kuanza hezbulah any time. uzuri ni kwamba Mungu wa Israel alishaahidi, hatawaacha wala hatawapungukia "milele", kwahiyo magaidi yatashindwa tu.
Watu weusi tuna Shida Sana aisee!!! Nimesoma hii comments nimegundua kwani Lowasa alikuwa anasema vipaumbele vyake ni Elimu ,Elimu ,Elimu
 
7000 rockets...nawaza hizi zingetumwa kwetu tungefanyaje?..
Pia jeshi letu na sisi lijipange tuanze kuiba idea kama hizi za hamas.
 
Wanapigana Israel na Palestina anayezungumziwa Iran

Israel hakuzoea kipigo cha ghafla kama hivi
alishawahi kuvamiwa namna hii hii 1971. sio jambo geni. pia kumbuka Yom Kipur war 1967, walipofanyiwa suprise na mataifa kama 7 ya waarabu wakauwa sana wayahudi, kilichotokea waarabu walikimbia bila vitatu. misri akaapa hatakuja kupigana tena na israel.
 
Back
Top Bottom