Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Tumesikia kuwa UN imeanza kuleta chokochoko kuingilia mambo yetu ya ndani, hasa suala la Ngorpngoro na Loliondo.
Tumesikia tetesi kuwa suala hili kupelekwa kimataifa ni viongozi wa kimasai toka Kenya ambao wanafaidika na malisho ya nchini Tanzania.
Lakini haswa chokochoko hizi ni kutokana na mafanikio ya The Royal Tour ya mama Samia.
UVCCM msikae kimya, enzi zetu za DUSO na TYL swala hili halikulaziwa damu.
We were proudly Tanzanians.
Tumesikia tetesi kuwa suala hili kupelekwa kimataifa ni viongozi wa kimasai toka Kenya ambao wanafaidika na malisho ya nchini Tanzania.
Lakini haswa chokochoko hizi ni kutokana na mafanikio ya The Royal Tour ya mama Samia.
UVCCM msikae kimya, enzi zetu za DUSO na TYL swala hili halikulaziwa damu.
We were proudly Tanzanians.