UVCCM andaeni maandamano kwenda ofisi za UN , kwakuingilia mambo ya ndani suala la Ngorongoro!

UVCCM andaeni maandamano kwenda ofisi za UN , kwakuingilia mambo ya ndani suala la Ngorongoro!

Big Head with no brain is weight to the neckšŸ¤”
 
UVCCM hamna maana, Wamasai wamewazidi ujanja na wameandamana hadi ubalozi wa Kenya.

Chongolo anazunguka mikoani tu wakati haya mambo current yanampita.
Siasa ni pressure group na ujanja.
 
Vile serikali huwa inajibu linapokuja suala la wamasai😁😁😁
 
'…bajeti yenu…'

kama Wewe huhusiki na bajeti ya Nchi maana yake huhusiki na Nchi…na mama huhusiki na nchi basi na ya Ngorongoro hayakuhusu
Nikukumbushe tu, hao UN ndio wale kwenye bajeti yenu kila mstari kuna maneno ya kuwapongeza mnawaita "nchi wahisani"

Hivyo kabla hujawashauri hao wajinga wenzio, mjue kwanza wapi mtapeleka yale mabakuli yenu kama hao "wahisani" watakasirika.
 
This is a human rights issue. Kusema kwamba UN inaingilia mambo yetu ya ndani ni hoja ya kizembe sana. Huwezi kuwalamba risasi wanao na mkeo kisha ukaiambia Serikali isiingilie; hayo ni mambo yenu ya ndani.
M23 inafyeka watu kama nyasi Kule Kongo umewaskia UN?

Islamic state wanachinja watu kule Pemba Msumbiji umewaskia UN?


ina maana kuhamisha Wamasai Ngorongoro kuwapeleka Handeni ni ukatili kuliko wa Tigrey Kule Ethiopia kwa kina Ahmed Abe?
 
Back
Top Bottom