Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]HAWA WANASUBIRI TEUZI TUTumesikia kuwa UN imeanza kuleta chokochoko kuingilia mambo yetu ya ndani, hasa suala la Ngorpngoro na Loliondo.
Tumesikia tetesi kuwa suala hili kupelekwa kimataifa ni viongozi wa kimasai toka Kenya ambao wanafaidika na malisho ya nchini Tanzania.
Lakini haswa chokochoko hizi ni kutokana na mafanikio ya The Royal Tour ya mama Samia.
UVCCM msikae kimya, enzi zetu za DUSO na TYL swala hili halikulaziwa damu.
We were proudly Tanzanians.
Haha mmeanza kuacha uffaller? Au mlimpaka mafuta kwa mgongo wa chupa mwendazake?Wadanganye
Tumesikia kuwa UN imeanza kuleta chokochoko kuingilia mambo yetu ya ndani, hasa suala la Ngorpngoro na Loliondo.
Tumesikia tetesi kuwa suala hili kupelekwa kimataifa ni viongozi wa kimasai toka Kenya ambao wanafaidika na malisho ya nchini Tanzania.
Lakini haswa chokochoko hizi ni kutokana na mafanikio ya The Royal Tour ya mama Samia.
UVCCM msikae kimya, enzi zetu za DUSO na TYL swala hili halikulaziwa damu.
We were proudly Tanzanians.
Lakini haswa chokochoko hizi ni kutokana na mafanikio ya The Royal Tour ya mama Samia.
Uuuviisisiemu[emoji1]UVCCM wanayaweza haya peke yake[emoji116][emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2263096
Tumesikia kuwa UN imeanza kuleta chokochoko kuingilia mambo yetu ya ndani, hasa suala la Ngorpngoro na Loliondo.
Tumesikia tetesi kuwa suala hili kupelekwa kimataifa ni viongozi wa kimasai toka Kenya ambao wanafaidika na malisho ya nchini Tanzania.
Lakini haswa chokochoko hizi ni kutokana na mafanikio ya The Royal Tour ya mama Samia.
UVCCM msikae kimya, enzi zetu za DUSO na TYL swala hili halikulaziwa damu.
We were proudly Tanzanians.
Lakini UN wasijifikirie kuna bongolala hapa Tz.Zoezi linaendelea kama lilivyo pangwa......
hakuna cha un wala uno.......kazi inaendelea kama kawaida.
Wewe ndo mjinga wa kutupwa.Nikukumbushe tu, hao UN ndio wale kwenye bajeti yenu kila mstari kuna maneno ya kuwapongeza mnawaita "nchi wahisani"
Hivyo kabla hujawashauri hao wajinga wenzio, mjue kwanza wapi mtapeleka yale mabakuli yenu kama hao "wahisani" watakasirika.
Acheni kunyanyasa wamasai kwa ajili ya kumpa eneo mwarabu,patheticTumesikia kuwa UN imeanza kuleta chokochoko kuingilia mambo yetu ya ndani, hasa suala la Ngorpngoro na Loliondo.
Tumesikia tetesi kuwa suala hili kupelekwa kimataifa ni viongozi wa kimasai toka Kenya ambao wanafaidika na malisho ya nchini Tanzania.
Lakini haswa chokochoko hizi ni kutokana na mafanikio ya The Royal Tour ya mama Samia.
UVCCM msikae kimya, enzi zetu za DUSO na TYL swala hili halikulaziwa damu.
We were proudly Tanzanians.