kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Ile Sheria wakati inapitishwa walikuwa wapi kukemea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatutaki Pole za WauajiNdugu zangu Watanzania,
Hii ndio taarifa yao .naiweka kama ilivyo pasipo kuweka neno langu hata moja wala nukta.View attachment 3091641View attachment 3091642
Na ripoti ya Mauaji ya Lisu yaliodunda yatatolewa@24?Najua inaumiza sana .lakini tuache uchunguzi ufanyike na kupewa ripoti kamili kama ilivyoagizwa na Mheshimiwa Rais wetu
Mkuu mbona "unageneralize" ?!!hamna hata haya hayawani wakubwa nyie mnalia machozi ya mamba kama kawaida yenu msibani mmekaa siti za mbele mkijiliza kwa uchungu wa uongo anyway nanyi pia mtakufa vilevile na kwa kuwa mtakuwa hamjatubu basi kuzimu mtaingia vizuri sana
Lucas Mwashambwa shetani hana rafiki. Hata wewe anaweza kukugeuka.Hatuna mioyo ya namna hiyo ya kishetani.
Huyo Kawaida ni wa wapi?UVCCM wa Dodoma
HaaWachawi kazini baada ya kuloga
Mwenyekiti UVCCM Taifa si amekataaa ..... Au mmeshaona mama yenu amekemea ndio mnakurupuka Sasa ... Kama kawaida yenu.Achana na mawazo ya kishirikina na imani potofu.
Hatuungi mkono Vitendo vya mauaji.ndio maana Rais wetu mpendwa amelaani na kukemea tukio hilo na kuagiza kufanyika kwa uchunguzi wa kina.Lucas Mwashambwa shetani hana rafiki. Hata wewe anaweza kukugeuka.
Kama wewe ni mkubwa nadhani unakumbuka kauli ya mwalimu, maendeleo huletwa na siasa safi na uongozi bora.
Nikisema maendeleo namaanisha maendeleo ya watu. Siyo vitu.
Chama cha Mapinduzi kupitia Mwenezi wetu Taifa Mheshimiwa CPA Amos Makala ameshatoa salamu za pole na kulaani sana tukio hilo.lakini pia kwa upande wa serikali nako pia Rais wetu mpendwa amelaani sana tukio hilo.Mwenyekiti UVCCM Taifa si amekataaa ..... Au mmeshaona mama yenu amekemea ndio mnakurupuka Sasa ... Kama kawaida yenu.
Wa DodomaTuwasikilize UVCCM wa Dodoma au Wataifa ?
Kweli CCM mmepasukaWa Dodoma
Kabla ya kulaan7 mrejeeni yule wa kwenu aliyesema wanaoshinda mtandaoni kusema Serikali tukiwapoteza msiulize! na mpaka Sasa hakina hatua iliyochukuliwa! Msiwafanye waTanzania maMbuluma!!Ndugu zangu Watanzania,
Hii ndio taarifa yao .naiweka kama ilivyo pasipo kuweka neno langu hata moja wala nukta.View attachment 3091641View attachment 3091642
Tuwe watulivu na wenye subira wakati huu jeshi la polisi likiendelea na uchunguzi.Hatutaki Pole za Wauaji
Mhalifu Kingai atachunguza nini?Tuwe watulivu na wenye subira wakati huu jeshi la polisi likiendelea na uchunguzi.
Ni muhalifu wa nini na kwa ushahidi upi ndugu yangu mtanzania.Mhalifu Kingai atachunguza nini?
UVCCM waache utekaji wa viongozi wa upinzani hususan CHADEMA. Inasikitisha sana.Ndugu zangu Watanzania,
Hii ndio taarifa yao .naiweka kama ilivyo pasipo kuweka neno langu hata moja wala nukta.
Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Mkoa wa Dodoma umelaani vikali matukio yote ya utekaji na uhalifu yanayoendelea kujitokeza nchini, ikiwemo kuuawa kwa Mjumbe wa Sekretarieti ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Mzee Ally Kibao.
Wakizungumza leo 09 Septemba, 2024 Jijini Dodoma Umoja huo kupitia kwa Mwenyekiti wake Abdulhabib Mwanyemba amesema matukio hayo yanahatarisha Amani na Utulivu na kuutaka Umma kukemea vitendo hivyo bila kuchoka.
"hivi karibuni yametokea matukio ya kikatili yanayoogofya kwa jamii, tunakemea sana, ni jambo la aibu, hatufurahii na hatuwezi kutetea vitu kama hivyo"
Soma Pia: Mwenyekiti UVCCM Taifa apingana na Amos Makalla kuhusu kutoa pole kwa CHADEMA kufuatia kifo cha Ali Kibao
UVCCM wametaka kukamatwa haraka na kuchukuliwa hatua kwa wote waliohusika na tukio hilo