Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usipende kuongea vitu pasipo ushahidi wa aina yoyote ile ndugu yanguUVCCM waache utekaji wa viongozi wa upinzani hususan CHADEMA. Inasikitisha sana.
UVCCM Kanda ya Ziwa waliomba wapewe kazi ya kuwapoteza wapinzani na ninaona wanaifanya vizuri sana.Usipende kuongea vitu pasipo ushahidi wa aina yoyote ile ndugu yangu
BullshitNdugu zangu Watanzania,
Hii ndio taarifa yao .naiweka kama ilivyo pasipo kuweka neno langu hata moja wala nukta.
Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Mkoa wa Dodoma umelaani vikali matukio yote ya utekaji na uhalifu yanayoendelea kujitokeza nchini, ikiwemo kuuawa kwa Mjumbe wa Sekretarieti ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Mzee Ally Kibao.
Wakizungumza leo 09 Septemba, 2024 Jijini Dodoma Umoja huo kupitia kwa Mwenyekiti wake Abdulhabib Mwanyemba amesema matukio hayo yanahatarisha Amani na Utulivu na kuutaka Umma kukemea vitendo hivyo bila kuchoka.
"hivi karibuni yametokea matukio ya kikatili yanayoogofya kwa jamii, tunakemea sana, ni jambo la aibu, hatufurahii na hatuwezi kutetea vitu kama hivyo"
Soma Pia: Mwenyekiti UVCCM Taifa apingana na Amos Makalla kuhusu kutoa pole kwa CHADEMA kufuatia kifo cha Ali Kibao
UVCCM wametaka kukamatwa haraka na kuchukuliwa hatua kwa wote waliohusika na tukio hilo
Katibu Mkuu wetu wa CCM Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi alishakemea suala hilo hadharani kabisa.UVCCM Kanda ya Ziwa waliomba wapewe kazi ya kuwapoteza wapinzani na ninaona wanaifanya vizuri sana.
Nchimhi ndiye aliyeruhusu viongozi wa CHADEMA akina Mbowe na Lissu wakamatwe Mbeya na ndiye aliyeamuru waachiwe na waliachiwa.Katibu Mkuu wetu wa CCM Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi alishakemea suala hilo hadharani kabisa.
Acha uongo wako hapa weweNchimhi ndiye aliyeruhusu viongozi wa CHADEMA akina Mbowe na Lissu wakamatwe Mbeya na ndiye aliyeamuru waachiwe na waliachiwa.
Huo ndio ubinaadam, barkiwa sn kaka.Ndugu zangu Watanzania,
Hii ndio taarifa yao .naiweka kama ilivyo pasipo kuweka neno langu hata moja wala nukta.
Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Mkoa wa Dodoma umelaani vikali matukio yote ya utekaji na uhalifu yanayoendelea kujitokeza nchini, ikiwemo kuuawa kwa Mjumbe wa Sekretarieti ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Mzee Ally Kibao.
Wakizungumza leo 09 Septemba, 2024 Jijini Dodoma Umoja huo kupitia kwa Mwenyekiti wake Abdulhabib Mwanyemba amesema matukio hayo yanahatarisha Amani na Utulivu na kuutaka Umma kukemea vitendo hivyo bila kuchoka.
"hivi karibuni yametokea matukio ya kikatili yanayoogofya kwa jamii, tunakemea sana, ni jambo la aibu, hatufurahii na hatuwezi kutetea vitu kama hivyo"
Soma Pia: Mwenyekiti UVCCM Taifa apingana na Amos Makalla kuhusu kutoa pole kwa CHADEMA kufuatia kifo cha Ali Kibao
UVCCM wametaka kukamatwa haraka na kuchukuliwa hatua kwa wote waliohusika na tukio hilo
Kwa bahati mbaya sana Polisi Tanzania wanafanya kazi kwa maagizo ya ma-kada wa CCM inahuzunisha mno demokrasia hii iliyopokwa na CCM, ila mwisho wa siku CCM na wote wanaoishabikia wataishia kwenye laana kwa kujenga mfumo kandamizi wa ajili ya kujineemesha ki-binafsi na wewe upo.Acha uongo wako hapa wewe
Hata uchunguzi ukifanyika unadhani ikionekana ni serikali au wanacm ndo wahusika kuna la maana litafanyika?Kwa hiyo hamtaki kufanyika kwa uchunguzi?
Vidio za sii hasaa nisawa na kusikiliza ile miziki inayokosa maadili ila ina baraka za wasimamizi wa maadili ya miziki hiyo.Ngoja nitakuwekea video usikie vyema walichozungumza.
Uchunguzi gani unataka ma muuaji ni yuleyule Bashite aliyekuwa anaua akina Ben Saanane wakati wa awamu ya 5Najua inaumiza sana .lakini tuache uchunguzi ufanyike na kupewa ripoti kamili kama ilivyoagizwa na Mheshimiwa Rais wetu
Hivi hawa si ndo walise mtu akipitea wao ndio wame fanya na wasiulizwe? Leo wana kuja hapa na lugha tata?Ndugu zangu Watanzania,
Hii ndio taarifa yao .naiweka kama ilivyo pasipo kuweka neno langu hata moja wala nukta.
Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Mkoa wa Dodoma umelaani vikali matukio yote ya utekaji na uhalifu yanayoendelea kujitokeza nchini, ikiwemo kuuawa kwa Mjumbe wa Sekretarieti ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Mzee Ally Kibao.
Wakizungumza leo 09 Septemba, 2024 Jijini Dodoma Umoja huo kupitia kwa Mwenyekiti wake Abdulhabib Mwanyemba amesema matukio hayo yanahatarisha Amani na Utulivu na kuutaka Umma kukemea vitendo hivyo bila kuchoka.
"hivi karibuni yametokea matukio ya kikatili yanayoogofya kwa jamii, tunakemea sana, ni jambo la aibu, hatufurahii na hatuwezi kutetea vitu kama hivyo"
Soma Pia: Mwenyekiti UVCCM Taifa apingana na Amos Makalla kuhusu kutoa pole kwa CHADEMA kufuatia kifo cha Ali Kibao
UVCCM wametaka kukamatwa haraka na kuchukuliwa hatua kwa wote waliohusika na tukio hilo
Wapeleka oda ili viongozi wa chadema watekwe na kuuliwa leo wanatoa pole za kinafiki.Achana na mawazo ya kishirikina na imani potofu.