DIUNATION
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 2,591
- 1,719
Nimefanikiwa kuiona clip ya Mdude akitumia maneno ya kuudhi na yasiyo na staha kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Niseme wazi kama Rais Samia angeamua asitoke asingetoka ila kwa sababu anaamini katika Uhuru wa Mahakama aliamua ifanye kazi yake.
Ni muda muafaka sasa kwa UVCCM kuwaonesha watu kama hawa kuwa Mwenyekiti wa chama na Rais wa nchi hawezi kudhalilishwa kirahisi namna hii na vijana kukaa kimya.
Niseme wazi kama Rais Samia angeamua asitoke asingetoka ila kwa sababu anaamini katika Uhuru wa Mahakama aliamua ifanye kazi yake.
Ni muda muafaka sasa kwa UVCCM kuwaonesha watu kama hawa kuwa Mwenyekiti wa chama na Rais wa nchi hawezi kudhalilishwa kirahisi namna hii na vijana kukaa kimya.