UVCCM, Mdude Nyagali aoneshwe kuwa taasisi ya Urais haitukanwi kirahisi

UVCCM, Mdude Nyagali aoneshwe kuwa taasisi ya Urais haitukanwi kirahisi

Nimefanikiwa kuiona clip ya Mdude akitumia maneno ya kuudhi na yasiyo na staha kwa raisi wa jamhuri ya muungano wa TZ. Niseme wazi kama mama Samiah angeamua asitoke asingetoka ila kwa sababu anaamini katika uhuru wa mahakama aliamua ifanye kazi yake. Ni muda muafaka sasa kwa UVCCM kuwaonyesha watu kama hawa kua mwenyekiti wa chama na raisi wa nchi hawezi kudhalilishwa kirahisi namna hii na vijana kukaa kimya.
UVCCM chini ya kheri James ilikuwa imejaa matusi utazani wanaongelea mashimo yakutolewa mavi sio midomo
 
Nimefanikiwa kuiona clip ya Mdude akitumia maneno ya kuudhi na yasiyo na staha kwa raisi wa jamhuri ya muungano wa TZ. Niseme wazi kama mama Samiah angeamua asitoke asingetoka ila kwa sababu anaamini katika uhuru wa mahakama aliamua ifanye kazi yake. Ni muda muafaka sasa kwa UVCCM kuwaonyesha watu kama hawa kua mwenyekiti wa chama na raisi wa nchi hawezi kudhalilishwa kirahisi namna hii na vijana kukaa kimya.

Hapo vipi?

IMG_20210704_143127_720.jpg

Agenda ile ile kumfarakanisha Mama kwa lolote hata kama ni la kijinga:

IMG_20210704_051559_619.jpg


Oneni japo aibu basi?
 
Nimefanikiwa kuiona clip ya Mdude akitumia maneno ya kuudhi na yasiyo na staha kwa raisi wa jamhuri ya muungano wa TZ. Niseme wazi kama mama Samiah angeamua asitoke asingetoka ila kwa sababu anaamini katika uhuru wa mahakama aliamua ifanye kazi yake. Ni muda muafaka sasa kwa UVCCM kuwaonyesha watu kama hawa kua mwenyekiti wa chama na raisi wa nchi hawezi kudhalilishwa kirahisi namna hii na vijana kukaa kimya.
SASA WEKA NA USHAURI WAFANYE NINI AU MUFANYE NINI?.

MDUDE YEYE KAWEKA YA KWAKE KUWA MAMA AKIZINGUA ATAMNYOA KWA WEMBE ULEULE ALIOMNYOLEA SHUJAA.
 
OK kakosea ni kweli..!

Je Rais mwenyewe akitoa maneno yasiyo na staha tunamuwajibisha vipi??

Maana kuna watu waliambiwa wabaki na mavi yao nyumbani...

Hapa vipi?

IMG_20210704_143127_720.jpg


Kunyoa kwa wembe ule ule ni maneno ya kawaida kwa mahasimu kisiasa na hata michezoni.
 
Kuna sehemu nimesema raisi ni mungu. Shwaini wewe
Kusema kwamba mwenyekiti wa chama hadhalilishwi hovyo ilhali unayemtaja naye katoa mawazo yake na roho inakuuma ,,ni dhahiri unataka tumpe hadhi ya uungu,,,mwache kila mtu aseme anavyoamini,,,angalia nchi kama south africa watu walivyo na uhuru wa kumzungumzia rais wao...we ni mbuzi huna lolote mwoga kama ni mbwa koko,,,yaani neno ,,,,wembe na kunyolewa linakutoa mapovu utadhani unakataa roho,,,
 
Kusema kwamba mwenyekiti wa chama hadhalilishwi hovyo ilhali unayemtaja naye katoa mawazo yake na roho inakuuma ,,ni dhahiri unataka tumpe hadhi ya uungu,,,mwache kila mtu aseme anavyoamini,,,angalia nchi kama south africa watu walivyo na uhuru wa kumzungumzia rais wao...we ni mbuzi huna lolote mwoga kama ni mbwa koko,,,yaani neno ,,,,wembe na kunyolewa linakutoa mapovu utadhani unakataa roho,,,
Sio kila kitu ni cha kuiga
 
Back
Top Bottom