Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
kama ile ya Jaffo alimchamba mkandarasi hadi akazimia.Tutamkodia vigoma tumchambe hadi alazwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama ile ya Jaffo alimchamba mkandarasi hadi akazimia.Tutamkodia vigoma tumchambe hadi alazwe.
Mchocheeni ila akumbuke kama kufungwa atafungwa peke yake. Wewe utakuwa unalala nyumbani wakati yeye anakumbatiana na kunguni.Kama kweli anaamini uhuru wa mahakama,,vile vile lazima aamini uhuru wa kujieleza,,,sio lazima wote tuwaze utakavyo wewe,,,kila mtu ana uhuru wa kuwaza na kujieleza kwa kadri Mungu alivyo mjalia utashi wake,,,by the way rais sio Mungu,,,hata wewe pengine jamii inayo kuzunguka inakuona hufai kabisa,,ni kwa vile tyu huzungumziwi kwa sababu hufahamiki compared to mdude,,,by the way you might not understand ,the pains and feelings of mdude,wewe kaitetee familia yako kisha tulia,,mwache mdude with what he believe
humo humo.kama ile ya Jaffo alimchamba mkandarasi hadi akazimia.
Kwahiyo huwa mnaingilia uhuru wa mahakama ?Nimefanikiwa kuiona clip ya Mdude akitumia maneno ya kuudhi na yasiyo na staha kwa raisi wa jamhuri ya muungano wa TZ.
Niseme wazi kama mama Samiah angeamua asitoke asingetoka ila kwa sababu anaamini katika uhuru wa mahakama aliamua ifanye kazi yake.
Ni muda muafaka sasa kwa UVCCM kuwaonyesha watu kama hawa kua mwenyekiti wa chama na raisi wa nchi hawezi kudhalilishwa kirahisi namna hii na vijana kukaa kimya.
Mchocheeni ila akumbuke kama kufungwa atafungwa peke yake. Wewe utakuwa unalala nyumbani wakati yeye anakumbatiana na kunguni.
Pathetic.Nimefanikiwa kuiona clip ya Mdude akitumia maneno ya kuudhi na yasiyo na staha kwa raisi wa jamhuri ya muungano wa TZ.
Niseme wazi kama mama Samiah angeamua asitoke asingetoka ila kwa sababu anaamini katika uhuru wa mahakama aliamua ifanye kazi yake.
Ni muda muafaka sasa kwa UVCCM kuwaonyesha watu kama hawa kua mwenyekiti wa chama na raisi wa nchi hawezi kudhalilishwa kirahisi namna hii na vijana kukaa kimya.
mdude ana umaarufu? Upi?Sasa nimegundua kwanini vijana toka upinzani wanakuja ccm na kupewa vyeo. Uvcc badala ya kudeal na mambo ya maana, mnadeal na mpinzani aliyejitolea umaarufu kwa kuonewa.
Nilitarajia uvccm mngetumia nguvu yenu kutaka kujua ni nani waliojiunganishia bomba la mafuta, na hatua zichukuliwe. Kuna 24b zimepigwa kwenye halmashauri ya jiji hapa Dar na hakuna hatua, uvccm mko tu. Huyo Mdude ameshakuwa maarufu, hata Mkitaka na nyie kujipatia umaarufu kwake mtazidi kumpaisha tu, na akisema ajiunge ccm ataingia na cheo atapewa, atawaacha nyie mkipiga Majungu na ushirikina tu.
Muda huo sina Mimi shoga
Kwa hiyo unaitangazia dunia kuwa mahakama za Tanzania haziko huru na zinafanya kazi kwa maelekezo ya Rais.Nimefanikiwa kuiona clip ya Mdude akitumia maneno ya kuudhi na yasiyo na staha kwa raisi wa jamhuri ya muungano wa TZ.
Niseme wazi kama mama Samiah angeamua asitoke asingetoka ila kwa sababu anaamini katika uhuru wa mahakama aliamua ifanye kazi yake.
Ni muda muafaka sasa kwa UVCCM kuwaonyesha watu kama hawa kua mwenyekiti wa chama na raisi wa nchi hawezi kudhalilishwa kirahisi namna hii na vijana kukaa kimya.
Ila ninyi mnavomwita Delila ni sawa???Nimefanikiwa kuiona clip ya Mdude akitumia maneno ya kuudhi na yasiyo na staha kwa raisi wa jamhuri ya muungano wa TZ.
Niseme wazi kama mama Samiah angeamua asitoke asingetoka ila kwa sababu anaamini katika uhuru wa mahakama aliamua ifanye kazi yake.
Ni muda muafaka sasa kwa UVCCM kuwaonyesha watu kama hawa kua mwenyekiti wa chama na raisi wa nchi hawezi kudhalilishwa kirahisi namna hii na vijana kukaa kimya.
We ni kenge,hivi Kuna maneno ya kuudhi yanayoweza kuleta umaskini au kuua mtu?Nimefanikiwa kuiona clip ya Mdude akitumia maneno ya kuudhi na yasiyo na staha kwa raisi wa jamhuri ya muungano wa TZ.
Niseme wazi kama mama Samiah angeamua asitoke asingetoka ila kwa sababu anaamini katika uhuru wa mahakama aliamua ifanye kazi yake.
Ni muda muafaka sasa kwa UVCCM kuwaonyesha watu kama hawa kua mwenyekiti wa chama na raisi wa nchi hawezi kudhalilishwa kirahisi namna hii na vijana kukaa kimya.
Mnataka haki za kutukanaSio taasisi ya Urais tu haipaswi kutukanwa hata wananchi wa Nchi hii Kama alivyo Mdude hawapaswi kutukanwa na kudhalilisha katika nchi yake,mkiacha kutenda haki kwa mtaendelea kutukanwa tu na utapata heshima inayostahili na sivinginevyo
Mimi kenge dume na baba yako kenge jikeWe ni kenge,hivi Kuna maneno ya kuudhi yanayoweza kuleta umaskini au kuua mtu?
Wale kenge wenzio wa ccm wanaotaka walipwe kwa viwango na dola kama mabunge ya nchi zingine,hayo si matusi ya nguoni kwa watanzania,mtu anasema millioni 12,haitoshi?!hayo Si matusi ya nguoni
Mataga wanataka kusikia mazuri kutoka kwao
Kwani kumnyoa mtu nyie mmetafsiriJe ?!Yale ni maoni au matusi. Umnyoe mama yako kweli ni adabu hiyo