Nasubiria jibu hapaKwa hiyo mmekubaliana kumfanya nini?
Wamteke ? au sindano pyaaah ! 🤣🤸🐒
Kwanza wewe upo kundi lipi Kati ya manne, nikimanishaNimefanikiwa kuiona clip ya Mdude akitumia maneno ya kuudhi na yasiyo na staha kwa raisi wa jamhuri ya muungano wa TZ. Niseme wazi kama mama Samiah angeamua asitoke asingetoka ila kwa sababu anaamini katika uhuru wa mahakama aliamua ifanye kazi yake. Ni muda muafaka sasa kwa UVCCM kuwaonyesha watu kama hawa kua mwenyekiti wa chama na raisi wa nchi hawezi kudhalilishwa kirahisi namna hii na vijana kukaa kimya.
Nimefanikiwa kuiona clip ya Mdude akitumia maneno ya kuudhi na yasiyo na staha kwa raisi wa jamhuri ya muungano wa TZ. Niseme wazi kama mama Samiah angeamua asitoke asingetoka ila kwa sababu anaamini katika uhuru wa mahakama aliamua ifanye kazi yake. Ni muda muafaka sasa kwa UVCCM kuwaonyesha watu kama hawa kua mwenyekiti wa chama na raisi wa nchi hawezi kudhalilishwa kirahisi namna hii na vijana kukaa kimya.
Kama kweli anaamini uhuru wa mahakama,,vile vile lazima aamini uhuru wa kujieleza,,,sio lazima wote tuwaze utakavyo wewe,,,kila mtu ana uhuru wa kuwaza na kujieleza kwa kadri Mungu alivyo mjalia utashi wake,,,by the way rais sio Mungu,,,hata wewe pengine jamii inayo kuzunguka inakuona hufai kabisa,,ni kwa vile tyu huzungumziwi kwa sababu hufahamiki compared to mdude,,,by the way you might not understand ,the pains and feelings of mdude,wewe kaitetee familia yako kisha tulia,,mwache mdude with what he believeNimefanikiwa kuiona clip ya Mdude akitumia maneno ya kuudhi na yasiyo na staha kwa raisi wa jamhuri ya muungano wa TZ. Niseme wazi kama mama Samiah angeamua asitoke asingetoka ila kwa sababu anaamini katika uhuru wa mahakama aliamua ifanye kazi yake. Ni muda muafaka sasa kwa UVCCM kuwaonyesha watu kama hawa kua mwenyekiti wa chama na raisi wa nchi hawezi kudhalilishwa kirahisi namna hii na vijana kukaa kimya.
Niko kundi moja na baba yakoKwanza wewe upo kundi lipi Kati ya manne, nikimanisha
CCM HURU
CCM KINDAKINDAKI
CCM LIMBUKENI
CCM MASLAHI
Nakuuliza KWA maana sio wanaccm wote hawajitambui, mfano Wana ccm HURU,
SIKIA UVCCM aliekua mwenyekiti wenu , KWA Sasa kawa Dc, alisikika adhalani akitamka kumpiga sindano ya kumdhuru Mh Tundu lissu nanyi mkashangilia na kupiga makofi,Sasa kauli ya Mdude na ya elikua mwenyekiti wenu ipi ni mbaya, MPAKA kudemka namna hii.
Nakubali SSH rais ni kiongozi WETU wa TAIFA kwa Sasa, ila bado hakiwezi leta ualali kwamba ni muhim kuliko binadam yoyote NDANI ya nchi hii, sie sote ni sawa mbele za Mungu, na ni mwajiriwa wa wananchi japo ni kiongozi mkuu wa TAIFA
Acheni upambe isiokua na afya KWA TAIFA , nguvu hii ungetumia mwambia Mwenyekiti wako kwamba MCHAKATO WA KATIBA UENDELEE , ingekua umefanya Jambo la maana Sana KWA vizazi vyako vijavyo kuliko shabikia Mambo mepesi ,
Kuna sehemu nimesema raisi ni mungu. Shwaini weweKama kweli anaamini uhuru wa mahakama,,vile vile lazima aamini uhuru wa kujieleza,,,sio lazima wote tuwaze utakavyo wewe,,,kila mtu ana uhuru wa kuwaza na kujieleza kwa kadri Mungu alivyo mjalia utashi wake,,,by the way rais sio Mungu,,,hata wewe pengine jamii inayo kuzunguka inakuona hufai kabisa,,ni kwa vile tyu huzungumziwi kwa sababu hufahamiki compared to mdude,,,by the way you might not understand ,the pains and feelings of mdude,wewe kaitetee familia yako kisha tulia,,mwache mdude with what he believe