UVCCM Mwanza: Hakuna anayefaa kuwa Rais Tanzania zaidi ya Rais Samia

UVCCM Mwanza: Hakuna anayefaa kuwa Rais Tanzania zaidi ya Rais Samia

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Mwanza kimesema kuwa hakuna mtanzania mwenye sifa za kuwa Rais wa Tanzania ndani na nje ya CCM zaidi Samia na kuwapuuza wale wote wanaotoa kauli za kutaka kukigombanisha chama hicho tawala na wananchi, asema CHADEMA hawana hoja zaidi ya ubaguzi na uchochozi tu!

Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Mwanza Seth Masalu katika mkutano wa hadhara uliofanyika eneo la mission wilayani Sengerema mkoani Mwanza jana 20/6/2024.


UVCCM siyo tu kwamba ni reflection ya chawa nchini lakini pia imejaa vijana wa hovyo!

Lakini pamoja na yote hayo CHADEMA, ACT na vyama vingine vya upinzani mmelala, kazi kulalamika tu! Sasa mnatofauti gani na hawa wapuuzi wengine?

Over to you Chawa wa Mama na nyuki wa Mbowe.
 
Hii si kauli sahihi kabisa. Ndani ya CCM wapo wengi tu wenye sifa za kugombea na kuwa Rais. Sifa zinazoainishwa kwenye Katiba na Sheria za Uchaguzi zina ugumu au upekee gani hadi wengine wasiwe nazo? Kuwa mtanzania?? Kuwa na miaka 40?? Kuwa na sifa za kuwa Mbunge?? Kudhaminiwa na chama cha siasa??

Kinachopangwa kufanyika huko CCM mwaka 2025 ni utamaduni zaidi kuliko katiba, sheria na kanuni. Ni kumpa nafasi Rais Samia aongoze kwa mihula miwili. Huo utamaduni usigeuzwe kichaka cha dharau, kebehi na majigambo yasiyo na maana.

Hata nje ya CCM kuna watanzania kwa mamilioni wanaoweza kuwa Rais. Tutajionea mwaka 2025. Hivi, kwanini nguvu kubwa kiasi hiki inatumika kuutetea utamaduni ndani ya CCM?
 
Haha vijana wamekosa hekima na busara, wafundishwe maneno yakuzungumza kwenye hadhara, hilo ni tusi kwa mzungumzaji mwenyewe kajitukana na ni tusi pia kwa huyo anayetajwa mwenye sifa exceptional.
 
Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Mwanza kimesema kuwa hakuna mtanzania mwenye sifa za kuwa Rais wa Tanzania ndani na nje ya CCM zaidi Samia na kuwapuuza wale wote wanaotoa kauli za kutaka kukigombanisha chama hicho tawala na wananchi, asema CHADEMA hawana hoja zaidi ya ubaguzi na uchochozi tu!

Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Mwanza Seth Masalu katika mkutano wa hadhara uliofanyika eneo la mission wilayani Sengerema mkoani Mwanza jana 20/6/2024.

UVCCM siyo tu kwamba ni reflection ya chawa nchini lakini pia imejaa vijana wa hovyo!

Lakini pamoja na yote hayo CHADEMA, ACT na vyama vingine vya upinzani mmelala, kazi kulalamika tu! Sasa mnatofauti gani na hawa wapuuzi wengine?

Over to you Chawa wa Mama na nyuki wa Mbowe.
Kama wameona hakuna anayefaa kuwa Rais zaidi ya mhe Samia 2025 je mwaka 2030 atatokea wapi atakayefaa ??!
Maana wenye kihere here cha kuutaka URAIS watakuwa ni wale wale 🙄🤠
 
Siasa Tanzania hasa ndani ya CCM, inahitaji uwe "zero brain"
Ukiwa na akili Yako timamu, chagua Moja,

Ipuuze akili yako,
Au
Ipuuze Siasa

Ukichagua kuipuuza Siasa, chagua moja

Utawaliwe na mbumbumbu, na uhangaishwe na kero zisizo za msingi za maisha
Au
Uhame Nchi!
 
Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Mwanza kimesema kuwa hakuna mtanzania mwenye sifa za kuwa Rais wa Tanzania ndani na nje ya CCM zaidi Samia na kuwapuuza wale wote wanaotoa kauli za kutaka kukigombanisha chama hicho tawala na wananchi, asema CHADEMA hawana hoja zaidi ya ubaguzi na uchochozi tu!

Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Mwanza Seth Masalu katika mkutano wa hadhara uliofanyika eneo la mission wilayani Sengerema mkoani Mwanza jana 20/6/2024.

UVCCM siyo tu kwamba ni reflection ya chawa nchini lakini pia imejaa vijana wa hovyo!

Lakini pamoja na yote hayo CHADEMA, ACT na vyama vingine vya upinzani mmelala, kazi kulalamika tu! Sasa mnatofauti gani na hawa wapuuzi wengine?

Over to you Chawa wa Mama na nyuki wa Mbowe.
Msikilizeni kwa makini Mzee kifimbo
 

Attachments

  • VID-20240724-WA0001.mp4
    1.4 MB
Uvccm ni wa kupuuza tu.maana hawana maarifa.Na watu huangamia Kwa kukosa maarifa
 
Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Mwanza kimesema kuwa hakuna mtanzania mwenye sifa za kuwa Rais wa Tanzania ndani na nje ya CCM zaidi Samia na kuwapuuza wale wote wanaotoa kauli za kutaka kukigombanisha chama hicho tawala na wananchi, asema CHADEMA hawana hoja zaidi ya ubaguzi na uchochozi tu!

Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Mwanza Seth Masalu katika mkutano wa hadhara uliofanyika eneo la mission wilayani Sengerema mkoani Mwanza jana 20/6/2024.

UVCCM siyo tu kwamba ni reflection ya chawa nchini lakini pia imejaa vijana wa hovyo!

Lakini pamoja na yote hayo CHADEMA, ACT na vyama vingine vya upinzani mmelala, kazi kulalamika tu! Sasa mnatofauti gani na hawa wapuuzi wengine?

Over to you Chawa wa Mama na nyuki wa Mbowe.
Just look at them? Hawa ndio wanaandaliwa kuwa viongozi? This is bullshit
 
Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Mwanza kimesema kuwa hakuna mtanzania mwenye sifa za kuwa Rais wa Tanzania ndani na nje ya CCM zaidi Samia na kuwapuuza wale wote wanaotoa kauli za kutaka kukigombanisha chama hicho tawala na wananchi, asema CHADEMA hawana hoja zaidi ya ubaguzi na uchochozi tu!

Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Mwanza Seth Masalu katika mkutano wa hadhara uliofanyika eneo la mission wilayani Sengerema mkoani Mwanza jana 20/6/2024.

UVCCM siyo tu kwamba ni reflection ya chawa nchini lakini pia imejaa vijana wa hovyo!

Lakini pamoja na yote hayo CHADEMA, ACT na vyama vingine vya upinzani mmelala, kazi kulalamika tu! Sasa mnatofauti gani na hawa wapuuzi wengine?

Over to you Chawa wa Mama na nyuki wa Mbowe.
Sawa lakini Wacha uvccm wajifurahishe

wakati upigaji kura ukikamilika msikimbie na masanduku au kupindua matokeo wakati wa kutangaza

Si mmesikia chuma kutoka ubelgiji kimeingia nchini Jana na kimetangaza kugombea uraisi
 
Sawa lakini Wacha uvccm wajifurahidhe

wakati upigaji kura ukikamilika msikimbie na masanduku au kupindia matokeo wakati wa kutangaza

Si mmesikia chuma kutoka ubelgiji kimeingia nchini Jana na kimetangaza kugombea uraisi
Bila kuiba hawezi kitu
 
Back
Top Bottom