Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,823
- 2,466
Huyu kijana anamipango mizuri sana, Tunataka aina hii ya maono toka kwa viongozi,
Hata Nyerere alichapa viboko watu wazimaHuyu ndiye alikuwa anawatandika wanafunzi na watu wazima viboko mkoani Arusha ?
Hata Nyerere alichapa viboko watu wazima
Sasa nini kinakutisha hapa?We MÀTAGA jalibu kutumia akili,wapinzani watajifunzaje wakati wamebanwa kila kona?
View attachment 2025932
Upumbavu mtupuMiongoni mwahazina kubwa ya Vijana viongozi kwa Taifa hili ni huyu kijana Kenani Kihongosi Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa,
Kitendo Chake cha kuibadili UVCCM kutoka Ufuasi wake wa kisiasa pekee kwenda kwenye Ufuasi wa Kiuchumi kitawafanya Vijana wengi wa UVCCM kuwa matajiri wakubwa muda mfupi ujao,
BAVICHA|Ngome ya Vijana|UVIC na wengine kama kunajambo la kujifunza toka kwa Crde Kenani Kihongosi na UVCCM basi ni hili la kuwajengea uwezo wa kiuchumi Vijana wetu.
View attachment 2025918
Kweli hao watu wote niwapumbafu?
Naungana na wewe 100%Huyu kijana ni hazina kubwa sana katika taifa hili! Mungu azidi kumlinda!
Weka namba ya simu, unaweza kulamba uteuziHuyu kijana ni hazina kubwa sana katika taifa hili! Mungu azidi kumlinda!
CCM ni Chama Cha MazuzuKweli hao watu wote niwapumbafu?
CHADEMA akili ziko wapi?
Kweli umesahau number kwenye signatureHuyu kijana ni hazina kubwa sana katika taifa hili! Mungu azidi kumlinda!
Miongoni mwahazina kubwa ya Vijana viongozi kwa Taifa hili ni huyu kijana Kenani Kihongosi Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa,
Kitendo Chake cha kuibadili UVCCM kutoka Ufuasi wake wa kisiasa pekee kwenda kwenye Ufuasi wa Kiuchumi kitawafanya Vijana wengi wa UVCCM kuwa matajiri wakubwa muda mfupi ujao,
BAVICHA|Ngome ya Vijana|UVIC na wengine kama kunajambo la kujifunza toka kwa Crde Kenani Kihongosi na UVCCM basi ni hili la kuwajengea uwezo wa kiuchumi Vijana wetu.
View attachment 2025918
Kweli hao watu wote niwapumbafu?
CHADEMA akili ziko wapi?