UVCCM noma | BAVICHA Chukueni hii

Hu


Huyo motivational speaker anafurahisha tu genge hapo. Mtoe kwenye madaraka mwambie akatekeleze hizo porojo hapo uone sasa. Utashangaa anashinda kwa waganga asitolewe kwenye madaraka, lakini anashauri wengine watumie fursa! Stuka epuka matapeli.
Tindo huwa nacheka sana Comment zako, Uko salama lakini mkuu?
 
Umenikumbusha mikutani ya vyama vya upinzsni na ugaidi
 
Mama anafanya wonders zipi boss? Hizi za kukatika kwa umeme na kubambikia watu kesi?
Mkuu tuendelea kumuunga mkono Mama anafanya wonders,

Nakuelewa vizuri sana
 
Kwa hiyo huu mgao wa umeme ndio hiyo uliyoita wonders? Au hilo neno umeliweka bila kujua maana yake nini boss?
katika umri wako huo hujakutana na mgao wa umeme Tanzania?
 
Upuuzi kiwango cha PhD. Kajifunze wewe.
 
CHADEMA mnateseka sana, CCM hii sio saizi yenu,
Ni kweli siyo saizi yetu kwa sababu saizi yenu nyinyi ni vyoo vya Lumumba na kikosi cha akina Siro na Kingai eti wasiojulikana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…