UVCCM Shinyanga: Rais Samia angalia upya suala la tozo za miamala ya simu kwa maslahi ya wananchi wa hali ya chini

UVCCM Shinyanga: Rais Samia angalia upya suala la tozo za miamala ya simu kwa maslahi ya wananchi wa hali ya chini

Ccm imewai kujisahihisha nini?.yenyewe ndio inayoongoza hii nchi toka uhuru kwahiyo maovyo ovyo yote ya nchi hii yanabaraka zake sasa ni lini kilirekebisha lolote walilolianzisha wenyewe.mabadiliko yote ni matokeo ya wananchi wenyewe tuliona hata kwenye swala la fao lakujitoa viongozi wote wa ccm walikua wanatetea ule uamuzi hadi kelele za wadau kua nyingi ndo wakajifanya kurekebisha ata hili wananchi wakikaa kimya ndo imetoka hiyo.acha kujitoa ufahamu.
Kwa hiyo wewe kwenye maisha yako mwenyewe umefanya kila kitu proper?
 
Vijana;Uwasilishaji wenu hauna nidhamu kwa Rais "MNAMTAKA?"hamkuishia hapo MNAAGIZA.
Hizo lugha mngetumia kwa mbunge wenu
 
Baraza Kuu la UVCCM Mkoa wa Shinyanga chini ya Mwenyekiti Baraka Shemahonge limemtaka Rais Samia Suluhu kuliangalia upya suala la Tozo za Miamala ya Simu kwa manufaa ya wananchi wa hali ya Chini na Vijana wengi wasio na Ajira.

Baraza limeonya kuwa Mzunguko wa Fedha utapungua
Ambieni wabunge wenu siyo rais,
 
Baraza Kuu la UVCCM Mkoa wa Shinyanga chini ya Mwenyekiti Baraka Shemahonge limemtaka Rais Samia Suluhu kuliangalia upya suala la Tozo za Miamala ya Simu kwa manufaa ya wananchi wa hali ya Chini na Vijana wengi wasio na Ajira.

Baraza limeonya kuwa Mzunguko wa Fedha utapungua

Hawa vijana ni wa ajabu sana badala wawatetee wanufaika wa heslb ili VRF iondolewe kabisa bila masharti wenyewe wanazungumzia tozo za simu ambayo ni maendeleo ya nchi
 
Baraza Kuu la UVCCM Mkoa wa Shinyanga chini ya Mwenyekiti Baraka Shemahonge limemtaka Rais Samia Suluhu kuliangalia upya suala la Tozo za Miamala ya Simu kwa manufaa ya wananchi wa hali ya Chini na Vijana wengi wasio na Ajira.

Baraza limeonya kuwa Mzunguko wa Fedha utapungua
Hawa UVCCM ndio wakewake wanafiki wakubwa.
Hatukuwasikia wakinyanyua mdomo wakati TRA Task Force wana terrorise wananchi.
Wakae kimya na kusubiri gawio la ruzuku.
Hakafu sijui wanafikiri SGR na Stigkaz Power itajengwa na magwanda?
 
Back
Top Bottom