Kwa hiyo wewe kwenye maisha yako mwenyewe umefanya kila kitu proper?Ccm imewai kujisahihisha nini?.yenyewe ndio inayoongoza hii nchi toka uhuru kwahiyo maovyo ovyo yote ya nchi hii yanabaraka zake sasa ni lini kilirekebisha lolote walilolianzisha wenyewe.mabadiliko yote ni matokeo ya wananchi wenyewe tuliona hata kwenye swala la fao lakujitoa viongozi wote wa ccm walikua wanatetea ule uamuzi hadi kelele za wadau kua nyingi ndo wakajifanya kurekebisha ata hili wananchi wakikaa kimya ndo imetoka hiyo.acha kujitoa ufahamu.
Ambieni wabunge wenu siyo rais,Baraza Kuu la UVCCM Mkoa wa Shinyanga chini ya Mwenyekiti Baraka Shemahonge limemtaka Rais Samia Suluhu kuliangalia upya suala la Tozo za Miamala ya Simu kwa manufaa ya wananchi wa hali ya Chini na Vijana wengi wasio na Ajira.
Baraza limeonya kuwa Mzunguko wa Fedha utapungua
Hicho ni chama kiongozi, kinakubali kujisahihisha na kushauriana sio yule mfalme wenu ukiwa na mawazo mbadala utaitwa msaliti tu.
Kwani mimi ni chama?Kwa hiyo wewe kwenye maisha yako mwenyewe umefanya kila kitu proper?
Baraza Kuu la UVCCM Mkoa wa Shinyanga chini ya Mwenyekiti Baraka Shemahonge limemtaka Rais Samia Suluhu kuliangalia upya suala la Tozo za Miamala ya Simu kwa manufaa ya wananchi wa hali ya Chini na Vijana wengi wasio na Ajira.
Baraza limeonya kuwa Mzunguko wa Fedha utapungua
Hawa UVCCM ndio wakewake wanafiki wakubwa.Baraza Kuu la UVCCM Mkoa wa Shinyanga chini ya Mwenyekiti Baraka Shemahonge limemtaka Rais Samia Suluhu kuliangalia upya suala la Tozo za Miamala ya Simu kwa manufaa ya wananchi wa hali ya Chini na Vijana wengi wasio na Ajira.
Baraza limeonya kuwa Mzunguko wa Fedha utapungua